Tunauza vifungashio vya plastic vilivyo bora kabisa na kwa bei nafuu.
Vifungashio tulivyonavyo kwa kiitaalamu vinaitwa plastic zip bag.
Vipo vya ujazo tofauti kama inavyoonekana hapo chini na bei...
Eyeson properties ni kampuni ambayo inajihusisha na maswala ya ujenzi bora wa Nyumba
Kama vile
Nyumba za makazi
Nyumba za biashara
Godowns
Gorofa
Ujenzi wetu unazingatia ubora wa materials...
Altcoin ni coin zingne tofauti na btc, yaan sarafu ndogo ndogo au nyingne tofauti na btc
Coin ni sarafu yaweza kuwa alts au btc...maana zote zinaitwa coin
Image ya btc ni sarafu lakin...
Kama unataka kufanya haya yote kwa vitendo
Tuko tayar kukuongoza kufikia malengo uliyoyawaza leo kichwani kwako....
Bure utawekwa kwenye grp la mafunzo juu ya analysisy, ICO, jins ya kuwa...
How to analyse a particular coin...
Soma trend ya buying na selling,
Angalia investors waliopo yaan kwenye website ya coin husika
Angalia kupanda na kushuka katika market cap
Angalia volume...
What is 1CO
Ni innitial coin offering , ikiwa na maana ni mwanzo wa coin husika ili kuwekwa kwenye market, wakt coin haijaingzwa kwa exchanger husika!! Huwa inaundergo som prossess
Hivyo hutoa...
Nafkiri lile wenge la forex limeisha jinsi ilivyokuja masikioni kwa watu na matarajio yaliyokwa kabla na ukweli uliopo na uliokutwa juu ya forex baada ya kuingia. Basi kwa kuwa ukweli umejulikana...
Nahitaji mkopo wa riba nafuu.tunaandikishiana kila mwezi nakulipa.mkopo+riba igawanywe kwa mwaka mmoja.nina kibarua changu hapa dar.kwa utashi zaidi karibu inbox
Jina:Dell latitude D40 RAM:2GB, processor:Intel duo core. Window:7 ultimate
HDD GB 55.5
Processor speed ni @1.20GHZ
Battery yake haifanyi kazi inatumia charger
Picha ya Laptop
Simu...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
Kiwanja kipo kwenye process za kupewa hati,gharama za awali za upimaji zimeishafanyika,kwa 15M tu..nicheki 0714 345 432/0685 779 278..ni msumi 'C' Ni tambalale,kina miembe na kipo karibu barabara...
Natafuta kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa kanisa
Ukubwa kuanzia 30 ×30
Bei isizidi milioni 9
Eneo liwe ambalo halijapimwa lakini kuwepo na makazi
Liwe Dar es salaam au Kibaha.
Ukiwa nacho piga...
Nauza website yangu kwa bei poa kabisa tsh 40,000
Siwezi kuweka link humu kwa sababu jf hawaruhu
Kama una hitaji nicheki WhatsApp
Na nitakupa link uione mwenyewe
0766283352
Nahitaji samsung galaxy note 8 second hand iliyo refurbished/renovated/decorated( i mean yenye muonekano mzuri).
Kwa anayeuza au anayeweza nisaidia wapi nitaipata(ntampa hela ya usumbufu) pamoja...