Nauza Pikipiki Honda 110

Nauza Pikipiki Honda 110

lawyer2

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
224
Reaction score
67
Salaam wadau..ninauza pikipiki aina ya Honda 110 ya japan orijino.Iko vizuri kabisa.Bei 1.8m maongezi yapo.Karibuni.Kwa mawasiliano 0689900000
1496598330529.jpg
1496598343519.jpg
1496598349690.jpg
 
1.8 ndo bei yake dukani mkuu sa unauzaje na bei hiyo? Its mile age?
 
Hii dukani bila 5m hujachukua. Msifananishe hii na pikipiki za kichina. Hii ukifunga plau inalima, inavuta tena nk.
 
Hii ni nzuri. Ninayo ya urithi ila spear ndio shida kubwa haswa kwa cc wa mikoani.
 
ni kweli bei zake zipo juu wakuu...bei yangu tutadiscuss karibunii
 
Mkuu nakuombea upate ugumu wa kuiuza mpaka august niichukue aisee kuna project ntaianza lazima niwe na pkpk dzain hii...sema aamin!!
 
Mkuu nakuombea upate ugumu wa kuiuza mpaka august niichukue aisee kuna project ntaianza lazima niwe na pkpk dzain hii...sema aamin!!
Huko Rwanda ilipo anza mchakato wakuimpoti kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom