Nahitaji mafunzo ya ujasiriamali

Nahitaji mafunzo ya ujasiriamali

dr sabas

New Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
4
Reaction score
0
mimi ni mkazi wa dar es salaam kigamboni. tafadhali kwa anayejua watu au kampuni au shirika linalotoa mafunzo ya ujasiriamali kama kutengeneza tomato sauce, crips, sabuni ya unga na ya kipande na bidhaa zingine zingine tafadhali anisaidie...
mawasiliano :
0744634065
email; stratonsabass@gmail.com
ahsanteni
 
Hayo mafunzo si ya ujasiriamali ila kajiandikishe VETA ujifunze stadi za maisha
 
Najua utengenezaji wake..nipm nkupe namba nikupe somo bure kabisa
 
ningepata mtu anajua kutengeneza hiv vitu akanifundisha ingekua poa Zaidi kuliko kuanza kwenda shule tena mda ni mdogo na majukum ni mengi
 
Vizuri Mkuu tuone sido nikuuzie Mashine na utajifunza jinsi ya kutengeneza
Na nitakuunganisha na wajasiriamali wenzio 0762612213
 
Back
Top Bottom