Shaban Rajab
Member
- Nov 1, 2017
- 79
- 31
Mimi nina hekari 3 maeneo ya bagamoyo mwavi na nimelima mahindi sema sina uzoefu wa masaki.
Naomba ushauri kuhusu soko lake
Naomba ushauri kuhusu soko lake
Ninavyoona mimi bora kuuza ya kuchoma kuliko makavu. Kwani soko ni faster, ila kwa ajili ya kuchoma unatakiwa upande mbegu tamu za mahindi kama PANNAR 4m19, hybrid 4h32 na Seedco tumbili.Mimi nina hekari 3 maeneo ya bagamoyo mwavi na nimelima mahindi sema sina uzoefu wa masaki.
Naomba ushauri kuhusu soko lake
Yale niliyopanda mimi ni hybrid DH 04Ninavyoona mimi bora kuuza ya kuchoma kuliko makavu. Kwani soko ni faster, ila kwa ajili ya kuchoma unatakiwa upande mbegu tamu za mahindi kama PANNAR 4m19, hybrid 4h32 na Seedco tumbili.
Hayo nayo pia ni mazuri kuchoma, tafuta soko dar, mapema yakikomaa tu uuze.Yale niliyopanda mimi ni hybrid DH 04