Karibu na hongera kwa kuwa mfugaji wa kuku.
Karibu Sinade poultry farm tuko Morogoro. Tunajighulisha na ufugaji hasa wa kuku aina ya Kuroiler. Kwa mahitaji yako ya Kuroiler karibu uwasiliane na...
Kiwanja kipo kwenye process za kupewa hati,gharama za awali za upimaji zimeishafanyika,kwa 15M tu..nicheki 0714 345 432/0685 779 278..ni msumi 'C' kipo karibu barabara na pia stand kuu..!
Kwa matatizo ya Kiyoyozi (AC) fridge freeze na vifaa vyote vya kutengeneza baridi pia tunafunga na kurekebisha madishi umeme tupo kigamboni kinondoni na buguruni
Tupigie kupitia namba 0673772880...
This is the BEST NOAH 2007, very clean, in very GOOD CONDITION.. SPORTY RIMS 18 inches black with white stripes: NAUZA: HII NI GARI NZURI SANA TOWN KULIA kuku au Bush kote inaenda
Overview:
...
salaam...
kama unahitaji UPS used kwa bei rahisi ya kutupa njoo pm au weka comment hapa.
picha zime ambatanishwa.
nb: battery imeisha, itabidi ui-replace kabla hujaanza kuitumia.
sina...
Lina ukubwa wa eka 100
Lipo ktk kijiji cha Madeke ktk tarafa ya Lupembe mkoani Njombe
Bei ya kila eka ni 150000 tsh
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0784340024,0655726929 au0764426929
Habari zenu wakuu.
Ninauza kiwanja changu, kiko Madale, karibu na kituo kipya cha Polisi eneo maarufu kama Madale nguzo mbili, ni karibu sn na barabara kuu ambayo itawekewa lami hivi karibuni...
Habari wanajamvi,
Mimi ni mjasiriamali Mdogo ambaye kwa sasa nmejikita katika kutengeneza bites lakin uzalishaji wangu umekua n wakusua sua kutokana na kukosa vitendeakazi,
Ukosefu huu unatokana...
Nyumba kubwa ya familia inapangishwa Tabata bima
Master bedroom 1
Vyumba vya kulala 3 vingine
Sitting room
Dining room
Jiko
Public toilet
Maji yapo 24/7 ya Dawasco
Fence ya standard
Big area...
Habari wanajukwaa,
Nahitaji kujuzwa wapi naweza pata soko la maboga, kwani nataraji kuvuna maboga takriban fuso moja au zaid mnamo mwezi wa nane. Nimelima mkoani Tanga wilaya ya Handeni...
Naomba kupata msaada samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania, koi fish. na gharama gani? Kama hakuna ikiwa nitagiza nje kama Brazil, Nitahitajika kuwa na health certificate?
nauza mbwa wa kizungu bloodline tofauti tofauti(roltroillers,german sherphered e.t.c) kwa bei nafuu tsh.450,000 sihitaji dalali kama unahitaji nipigie simu 0716385824....Napatikana kigamboni.kama...
Habari wakuu.
Nipo Arusha kwa sasa, nahitaji kununua laini tajwa hapo juu kwaajili ya kuanza biashara ya huduma za kifedha.
Ukiwa Arusha itakuwa nzuri zaidi, tufanye biashara na kukuhitaji...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.