Nyumba inauzwa ipo kwenye lenta.

Nyumba inauzwa ipo kwenye lenta.

kidunula1

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
6,305
Reaction score
6,351
Habari ndugu,

Kichwa cha habari kinajieleza, nyumba ipo kwenye lenta inauzwa milioni 18.5 ipo kigamboni. Eneo lenye nyumba lina ukubwa Wa upana mita 15 na urefu mita 19. Nimeambatanisha na picha ili kusadifu kinachosemwa. Kwa mwenye uhitaji anipigie katika mawasiliano 0629092740/ 0713228353
IMG-20180404-WA0012.jpg
IMG-20180404-WA0011.jpg
 
I mean iko sehemu gni kigamboni?
 
I mean iko sehemu gni kigamboni?
Iko vijibweni ndugu si mbali sana kutoka darajani,ni sehemu tambarare na pamechangamka tu ndugu. Shimo la choose pia limeshachimbwa na kujengewa ila bado kufunikwa
 
Iko vijibweni ndugu si mbali sana kutoka darajani,ni sehemu tambarare na pamechangamka tu ndugu. Shimo la choose pia limeshachimbwa na kujengewa ila bado kufunikwa
Naitamani Sana'a, tatizo wanadaresalama wengi matapeli, yasije yakanikuta ya mandojo.
 
NB: Haiuzwi sababu kuna majanga, ondoa wasiwasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom