Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anaehitaji,tuwasiliane pm,
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Nina madini yangu hapa kidogo silver kg mbili kwa anaenunua au kujua soko aje tufanye biashara
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu bila shaka mko poa! Natafuta gari ya kununua kwa ajili ya tour za mbugani!(Jeep,Land rover) Iwe na hali nzuri,inaweza kwenda mbuga yoyote ile bila matatizo. Iwe na mwonekano mzuri nje na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zile zenye frem ndogo ambazo ni led. Iwe haijabadilishwa kioo. Niko dar Bei isizidi laki nne itapedeza na isiwe na tatizo
0 Reactions
4 Replies
854 Views
Tafadhali wadau naomba kujuzwa bei ya mashine ya kukoboa mahindi na kusaga, nahitaji kuanzisha kiwanda cha kuchakata unga.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
habari zenu wadau, Kama kichwa cha habari kinavyosema, Ni used ila ipo katika hali nzuri (good condition). haina tatizo lolote. Sifa zake Ina play video cd na ipo cable yake za kuunganisha...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Karibu ujifunze kuhusu biashara za coin za kiditali kutrading coin Nunua coin kwa bei ya chini Na uza kwa bei ya juu . Signal za bure pia zipo kila siku unapata signa ya bure moja Andika...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Natafuta gari ndogo used such as GX100,VITZ etc ya kufanyia kazi za ofisini kama kwenda bank,ktk ofisi za makampuni,na mizunguko ya katikati ya mjini hapa Morogoro town,Itatumiwa na Accountant...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tecno c8 ,imetumika miezi sita, bei 140000, njoo PM .
1 Reactions
1 Replies
646 Views
Habari wanajukwaa. Kama thread ilivyo hapo juu. Mimi ni kijana wa miaka 25 ni muhanga wa elimu ya vitabuni ambayo iko kinadharia zaidi kuliko vitendo naamini wote mnaelewa mfumo wa elimu yetu ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam wakuu..! poleni na majukumu ya kazi, samahani naomba kujua gharama za kutengeneza/kutengenezewa accounting software kwa ajili oganizesheni ni shilingi ngapi..? Nina oganizisheni yangu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza viatu aina zote Kwa bei nafuu sanaa Tsh.45,000/= With free DELIVERY in Dar. Call/whatsapp 0718712554
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Ni Chumba Sebule na Choo Chake, Kodi Laki 2 Kwa Mwezi. Ipo ndani ya Fensi, Maji Yapo Dawasco. Tuwasiliane: 0685917621
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tunauza vifungashio vya plastic vilivyo bora kabisa na kwa bei nafuu. Vifungashio tulivyonavyo kwa kiitaalamu vinaitwa plastic zip bag. Vipo vya ujazo tofauti kama inavyoonekana hapo chini na bei...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Eyeson properties ni kampuni ambayo inajihusisha na maswala ya ujenzi bora wa Nyumba Kama vile Nyumba za makazi Nyumba za biashara Godowns Gorofa Ujenzi wetu unazingatia ubora wa materials...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Altcoin ni coin zingne tofauti na btc, yaan sarafu ndogo ndogo au nyingne tofauti na btc Coin ni sarafu yaweza kuwa alts au btc...maana zote zinaitwa coin Image ya btc ni sarafu lakin...
0 Reactions
2 Replies
773 Views
Kama unataka kufanya haya yote kwa vitendo Tuko tayar kukuongoza kufikia malengo uliyoyawaza leo kichwani kwako.... Bure utawekwa kwenye grp la mafunzo juu ya analysisy, ICO, jins ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
How to analyse a particular coin... Soma trend ya buying na selling, Angalia investors waliopo yaan kwenye website ya coin husika Angalia kupanda na kushuka katika market cap Angalia volume...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
What is 1CO Ni innitial coin offering , ikiwa na maana ni mwanzo wa coin husika ili kuwekwa kwenye market, wakt coin haijaingzwa kwa exchanger husika!! Huwa inaundergo som prossess Hivyo hutoa...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Nafkiri lile wenge la forex limeisha jinsi ilivyokuja masikioni kwa watu na matarajio yaliyokwa kabla na ukweli uliopo na uliokutwa juu ya forex baada ya kuingia. Basi kwa kuwa ukweli umejulikana...
3 Reactions
45 Replies
8K Views
Back
Top Bottom