Salama Wakuu
Nahitaji viti used (vya plastic/ mbao/ makochi), meza used (za plastic/ mbao) na magorodoro (Used) Arusha. Kama unayo, njoo inbox tufanye biashara.
Shukrani.
Za humu ndani?
Nina wazo la Biashara ambapo mtaji wake si chini ya milioni 10.
Wazo linahusu Biashara ya kutumia intaneti.kama kuna MTU anaweza kuwekeza naomba ani PM tuongee.au
kama MTU...
Jipatie universal 4G mifi router inasupport mitandao yote Tanzania
Inaunganisha watu au device zaidi ya 10
Inauwezo wa kukaa na charge hadi masaa 10
Ni brandnew sealed and best huawei device...
Hello karibu T444z,
Bidhaa bora kabisa katika soko leo hii..na ndio maana imekua katika nafasi ya juu sana
T444z inasaidia kukuza nywele sana...ni Bidhaa itokanayo na mimea asilia kutoka katika...
VonHaus Electric Car Jack & Impact Wrench (DC Powered)
Bei ni Tsh. 300,000
Warranty: 1 Year
Zinatumia Umeme wa Gari (DC).
Kwenye Box kuna Jeki ya Kunyanyulia Gari pamoja na Mashine ya...
Wadau na wataalamu, nahitaji gwiji wa kutengeneza platform ya matokeo na taarifa kadhaa kwenye sheet kwa ajili ya shule. Hiyo platform iwe na vitu vifuatavyo
1. Itakayotoa matokeo ya mitihani...
Habari wana Jamvi;
Kama ilivyokawaida kuna wakati unaweza kuhitaji mawasiliano ya watu wa makampuni fulani muhimu kama vile wakurugenzi,na wakuu wa idara na wakati mwingine watumishi wa...
Wasalaam ndugu.
Kama kichwa habari kinavyojieleza,
nina maharage mengi zaidi ya kilo 3500 ila yameingiliwa na wadudu kwa kiasi kidogo sana. yapo aina mbili; soya na meupe madogo, ni maharage...
Nadhani wengi mnakumbuka sticker maarufu miaka flani nyuma yenye picha ya mtu na neno WAKA AKAW (wakawaka)..sticker (logo) hiyo inayoishi mpaka hivi leo kwa umaarufu wake hapa Tanzania, Inapendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.