Nafasi ya masomo kidato cha tano

Nafasi ya masomo kidato cha tano

Emman1985

Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
37
Reaction score
44
Kowak Girls' High School, shule bora kabisa kwa sasa kanda ya ziwa. Karo yao ni nafuu, in shilingi milioni mbili kwa mwaka na inalipwa kwa awamu nne. Godoro na kitanda, na chakula vinapatikana shuleni bila gharama za ziada.
Kwa maelezo zaidi piga; 0767021662

IMG-20180419-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom