K/koo chimboni mtumba ilala chimbiniHabarini Wadau,
Najua hivi viatu vipo madukani ila sikuhizi vingi sana ni fake...kuna mgeni wangu nipo naye anaviulizia sana hasa Black & Brown
Kuna yeyote anaweza kunisaidia namna ya kuvipata na bei yake ikoje?
Shukran.
K/koo wanauza mkuu ingia chimboni kuleHivi wanauzaje mkuu?
Kuanzia kilo mkuuHivi wanauzaje mkuu?
MKUU UKITAKA KUJUA HII FAKE NA OG UNAANGALIA NINI?Habarini Wadau,
Najua hivi viatu vipo madukani ila sikuhizi vingi sana ni fake...kuna mgeni wangu nipo naye anaviulizia sana hasa Black & Brown
Kuna yeyote anaweza kunisaidia namna ya kuvipata na bei yake ikoje?
Shukran.