Husika na kichwa cha habari hapo juu eneo la ekari 20 linauzwa Mwanza magu maeneo ya Nyanguge eneo lipo mita 70 kutoka ZIWANI na ni zuri sana kwa kilimo pia kwa ufugaji HASAHASA wa SAMAKI
Pia...
Mwenye vifaa vya saloon used kama kioo,mashine mbili radio kiti ,fane ,vitambaa,fagio,dust been,after shave,powder,brash,taulo meza kiti cha mteja extension cable...pazia 0713099309
Hydroponic technology ni sayansi ya kuotesha mmea kwa kutumia maji tu yaliyochanganywa na virutuvisho kadhaa. Ngano,shairi, ulezi,mtama nk huweza kuoteshwa ili kupata FODDER kama chakula cha...
Kiwanja kinauzwa msongola Dar es salaam, kipo sehemu nzuri, kwenye huduma zote kama maji,umeme nk. gari inafika mpaka kiwanja kilipo na bei yake ni nzuri million 3.5 ukubwa miguu 50 Kwa 50 pande...
KID'S TABLETS FOR SALE
You don't fancy handing your phone to your kids,then why not buy a tablet designed just for them!
Keep your kids entertained with the most child friendly tablets,giving...
Habari wakuu
Anayeweza kutengeneza aina hii ya mikoba(kwenye video hapo chini[emoji116] [emoji116] [emoji116] ) naomba ani-pm nahitaji mafunzo. Nipo DSM
Kama kichwa vha habari kinavyojieleza... Nahitaji tv mbili ziwe LED inch 32 itapendeza ikiwa za second hand na kila moja nakupa 320,000.... Biashara leo leo.....
Location DSM
0768080549 kwa...
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi...
Habari wadau
Nina idadi kubwa ya kuku wa kienyeji hapa dar es salaam. Naomba kujua kama kuna mtu ana mgahawa au connection na restaurant/hotel yoyote anaweza kuniunga ili tufanye kazi.
Kuku...
kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa sana
Mimi ni kijana wa miaka kadhaa, nimehitimu chuo kikuu mwaka jana shahada ya Ualimu. lakini kama mnavyoua suala la ajira limekuwa chngamoto kidogo...
Habari ndg jamaa na rafiki kitabu kiitwacho fursa 20 za kuanzia hapo ulipo. Kinaizwa kwa shilingi elfu tano tu na Kina masomo 20 muhimu Ambayo waanzia popote ulipo hata chumbani kwako na ukaongeza...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.