Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

"AFYA KWANZA" ACHA KUTESEKA NJOO UPIME AFYA UPATE MATIBABU, USISUBIRI HADI UZIDIWE GHAFLA, TUNAPENDA UISHI -WATAALAM WA AFYA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI BINGWA WAPO HAPA NCHINI (KARIAKOO DSM)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu eneo la ekari 20 linauzwa Mwanza magu maeneo ya Nyanguge eneo lipo mita 70 kutoka ZIWANI na ni zuri sana kwa kilimo pia kwa ufugaji HASAHASA wa SAMAKI Pia...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
KAMA KUNA MKUU ANA PROTECTOR YA LG G4
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Mwenye vifaa vya saloon used kama kioo,mashine mbili radio kiti ,fane ,vitambaa,fagio,dust been,after shave,powder,brash,taulo meza kiti cha mteja extension cable...pazia 0713099309
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hydroponic technology ni sayansi ya kuotesha mmea kwa kutumia maji tu yaliyochanganywa na virutuvisho kadhaa. Ngano,shairi, ulezi,mtama nk huweza kuoteshwa ili kupata FODDER kama chakula cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunakodisha vifaa vya barabara na ujenzi. Tunapatikana Daressalam, Dodoma na Singida. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Kiwanja kinauzwa msongola Dar es salaam, kipo sehemu nzuri, kwenye huduma zote kama maji,umeme nk. gari inafika mpaka kiwanja kilipo na bei yake ni nzuri million 3.5 ukubwa miguu 50 Kwa 50 pande...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
KID'S TABLETS FOR SALE You don't fancy handing your phone to your kids,then why not buy a tablet designed just for them! Keep your kids entertained with the most child friendly tablets,giving...
0 Reactions
0 Replies
562 Views
Habari wakuu Anayeweza kutengeneza aina hii ya mikoba(kwenye video hapo chini[emoji116] [emoji116] [emoji116] ) naomba ani-pm nahitaji mafunzo. Nipo DSM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kichwa vha habari kinavyojieleza... Nahitaji tv mbili ziwe LED inch 32 itapendeza ikiwa za second hand na kila moja nakupa 320,000.... Biashara leo leo..... Location DSM 0768080549 kwa...
0 Reactions
6 Replies
943 Views
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me... Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita.. No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane... Patakua wazi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau Nina idadi kubwa ya kuku wa kienyeji hapa dar es salaam. Naomba kujua kama kuna mtu ana mgahawa au connection na restaurant/hotel yoyote anaweza kuniunga ili tufanye kazi. Kuku...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nina mzigo WA tikiti kama Piece 4000 hivi bado zipo Shamba na tafuta mtu WA kufaulisha..... Namba; 0787 833 585
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Safety valve ya jiko la gas Na pipe take bei 10000/ tu napatikana mbagala zakhem Namba 0656560824
0 Reactions
0 Replies
611 Views
kichwa cha habari hapo juu kinahusika kwa sana Mimi ni kijana wa miaka kadhaa, nimehitimu chuo kikuu mwaka jana shahada ya Ualimu. lakini kama mnavyoua suala la ajira limekuwa chngamoto kidogo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndg jamaa na rafiki kitabu kiitwacho fursa 20 za kuanzia hapo ulipo. Kinaizwa kwa shilingi elfu tano tu na Kina masomo 20 muhimu Ambayo waanzia popote ulipo hata chumbani kwako na ukaongeza...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Naomba kujua kati ya "Refined and non Refined "sunflower oil ni yapi mazuri.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunachora ramani za nyumba aina zote. Tunatoa ushauri wa ujenzi nk. Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako. karibu sana. 0654919121 0658919121
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau pale Mbeya mjini wapi wanauza matofali ya kuchoma? Tofali moja Sh..ngapi na je nyumba ya vyumba 4 itahitaji matofali mangapi??
0 Reactions
6 Replies
2K Views
We design and supervise residential or commericial projects Call/ whatssap 0714156854
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Back
Top Bottom