chibalangunamchezo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,542
- 2,647
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kunavojieleza.
Naitaji msaada wa taarifa kuhusu soko la kuku au wanunuaji wa jumra jijini dar es salaam.
Kuku ni wakienyeji toka singida, bei maelewano baina ya mfugaji na mteja.
NB: kuku wanapatikana kwa wiki mara mbili kwa idadi ya kuku ishirini mbaka therasini, lakini ukitaka zaidi pia utapata kwa wakati utakao kubaliana nasi.
Natanguliza shukrani.
Naitaji msaada wa taarifa kuhusu soko la kuku au wanunuaji wa jumra jijini dar es salaam.
Kuku ni wakienyeji toka singida, bei maelewano baina ya mfugaji na mteja.
NB: kuku wanapatikana kwa wiki mara mbili kwa idadi ya kuku ishirini mbaka therasini, lakini ukitaka zaidi pia utapata kwa wakati utakao kubaliana nasi.
Natanguliza shukrani.