Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Incubator SOLAR na GAS Nimashine zinazotumia gharama ndogo sana katika uzalishaji wa vifaranga. Gharama ya matumizi kwa mwezi ni Tshs 17,000 au 20,000 Kutokana na sehemu utakapo nunua mtungi wa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Natafuta kontena moja la futi 20, lifike Mbezi beach A. Bei gani? Usafiri bei gani? Bajeti yangu lakini 2M TSh. NB: liwe zuri, kamili na makaratasi yake. Asante. Jibu hapa, au tupigie: +255...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nahitaji Malory aina ya semitrailer tipper ya kupakia clinker kutoka tanga kuja dar mwenye nayo aje pm tuongee biashara Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Mnajimu na mtabiri maarufu Afrika mashariki Hussein yahya ametabiri mafanikio kwa Jpm mwaka huu na kusema atapata tuzo Kubwa duniani kwa Kazi anayoifanyia nchi ya kusadikika na ameenda mbali zaidi...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Nahitaji kiwanja kilichopimwa au kilicho maeneo ya makazi dodoma mjini. Nina 1 milion. Asa asa maeneo ya nzuguni, nkuhungu au popote ila isiwe mbali na mjini. Ila nataka sana kilicho pimwa. Kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Scholarships to study in china, for bachelors, masters and phd are available . All majors form arts majors, business to science majors. For more info contact Thejosec@qq.com or +8613761325614
1 Reactions
8 Replies
873 Views
Nahitaji tanki la maji lililotumika la lita 2000. Aina iwe ya Simtank na tafadhali naomba liwe zima na lisilovuja wala kutoboka na bei yangu ni 180,000. Kama unalo basi naomba unipm namba yako...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza simu aina ya honor kutoka Japan yenye vigezo vifuatavyo kwa bei ya sh 380k RAM:3GB INTERNAL STORAGE:32GB CAMERA:13MGPX Kwa mawasiliano zaidi nicheki kupitia 0659437127
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau,kiwanja changu mwenyewe nakiuza kina square metres 592,bei 15M (maongezi kidogo yapo) ..kimeanza kupimwa na risiti ya malipo ya awali (advance payment ) ipo...eneo tambalale na ni metres...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Awe na Advanced Diploma au zaidi na awe computer literate; awe na uwezo wa kutumia accounting packages kama Tally, Myob, nk. kwa ajili ya duka la jumla na rejareja hapa Dar. Mshahara ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
12 Reactions
126 Replies
10K Views
Nianze kwa kuwatakia heri ya pasaka na mwanzo bora wa mwezi wa nne. Ningependa fahamu Kati ya hizi TV bland mbili ipi ni bora zaid ya nyingnine kwa ujumla ushauri utakao nisaidia katika kufanya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sajiliwa laini mpya ya vodacom na iunganishwe na Ofa ya Chuo bila kitambulisho cha Chuo kila jumamosi na jumapili piga 0769426491 kwa Maelezo zaidi
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji TV sasa hivi nipo kinondoni B iwe kwenye hali nzuri.
0 Reactions
2 Replies
905 Views
Dalali inaungaisha wateja na wafanyabiashara kupitia tovuti yake www.dalali.co Unachotakiwa kufanya ni kujisajili, na kuweka tangazo lako bure kwenye website ili kufikia wateja wengi wanaotembelea...
0 Reactions
3 Replies
974 Views
Kiwanja kipo Salasala Kilimahewa juu jirani na Maliasili. Kina documents za umiliki zinazotambuliwa na serikali ya mtaa na kata. Kina ukubwa wa miguu 22 kwa 25. Kina nyumba (underground) ambayo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Nauza vitu vifuatavyo vina upya wake na kila accessories zake zilizokuja navyo kutoka dukani Samsung Smart Flat Screen inch 40 kwa Tshs. 1.3M Fridge westpoint kwa Tshs. 650,000/=...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Container Zote ni mpya Zipo Kurasini call me 0672243892 Price mil 2.5 20500000
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu Ndugu zangu naitwa innocent ninajambo nahitaji msaada kimawazo mie nimkongwe kwenye tasinia ya uandaaji wa filamu ninakampuni iliyosajiriwa hii kampuni nimalengo yangu ya miaka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
=========================
5 Reactions
260 Replies
29K Views
Back
Top Bottom