Incubator SOLAR na GAS
Nimashine zinazotumia gharama ndogo sana katika uzalishaji wa vifaranga.
Gharama ya matumizi kwa mwezi ni Tshs 17,000 au 20,000
Kutokana na sehemu utakapo nunua mtungi wa...
Natafuta kontena moja la futi 20, lifike Mbezi beach A.
Bei gani?
Usafiri bei gani?
Bajeti yangu lakini 2M TSh.
NB: liwe zuri, kamili na makaratasi yake.
Asante.
Jibu hapa, au tupigie: +255...
nahitaji Malory aina ya semitrailer tipper ya kupakia clinker kutoka tanga kuja dar mwenye nayo aje pm tuongee biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajimu na mtabiri maarufu Afrika mashariki Hussein yahya ametabiri mafanikio kwa Jpm mwaka huu na kusema atapata tuzo Kubwa duniani kwa Kazi anayoifanyia nchi ya kusadikika na ameenda mbali zaidi...
Nahitaji kiwanja kilichopimwa au kilicho maeneo ya makazi dodoma mjini. Nina 1 milion. Asa asa maeneo ya nzuguni, nkuhungu au popote ila isiwe mbali na mjini. Ila nataka sana kilicho pimwa. Kama...
Scholarships to study in china, for bachelors, masters and phd are available .
All majors form arts majors, business to science majors.
For more info contact
Thejosec@qq.com or +8613761325614
Nahitaji tanki la maji lililotumika la lita 2000. Aina iwe ya Simtank na tafadhali naomba liwe zima na lisilovuja wala kutoboka na bei yangu ni 180,000.
Kama unalo basi naomba unipm namba yako...
Nauza simu aina ya honor kutoka Japan yenye vigezo vifuatavyo kwa bei ya sh 380k
RAM:3GB
INTERNAL STORAGE:32GB
CAMERA:13MGPX
Kwa mawasiliano zaidi nicheki kupitia 0659437127
Wadau,kiwanja changu mwenyewe nakiuza kina square metres 592,bei 15M (maongezi kidogo yapo) ..kimeanza kupimwa na risiti ya malipo ya awali (advance payment ) ipo...eneo tambalale na ni metres...
Awe na Advanced Diploma au zaidi na awe computer literate; awe na uwezo wa kutumia accounting packages kama Tally, Myob, nk. kwa ajili ya duka la jumla na rejareja hapa Dar. Mshahara ni...
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Nianze kwa kuwatakia heri ya pasaka na mwanzo bora wa mwezi wa nne.
Ningependa fahamu Kati ya hizi TV bland mbili ipi ni bora zaid ya nyingnine kwa ujumla ushauri utakao nisaidia katika kufanya...
Dalali inaungaisha wateja na wafanyabiashara kupitia tovuti yake www.dalali.co Unachotakiwa kufanya ni kujisajili, na kuweka tangazo lako bure kwenye website ili kufikia wateja wengi wanaotembelea...
Kiwanja kipo Salasala Kilimahewa juu jirani na Maliasili. Kina documents za umiliki zinazotambuliwa na serikali ya mtaa na kata. Kina ukubwa wa miguu 22 kwa 25. Kina nyumba (underground) ambayo...
Habari
Nauza vitu vifuatavyo vina upya wake na kila accessories zake zilizokuja navyo kutoka dukani
Samsung Smart Flat Screen inch 40 kwa Tshs. 1.3M
Fridge westpoint kwa Tshs. 650,000/=...
Habari zenu Ndugu zangu naitwa innocent ninajambo nahitaji msaada kimawazo mie nimkongwe kwenye tasinia ya uandaaji wa filamu ninakampuni iliyosajiriwa hii kampuni nimalengo yangu ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.