Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Lipo Sumbawanga eneo la makutano Eneo:2170.5sq.m Bei:maelewano
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Naitwa Tausi Hamidu Makeo, Wa Idara Ya Elimu Ya Msingi mkoani Lindi, Ruangwa.. Natafuta Mwalimu Wa Kubadilishana Naye Kituo Cha Kazi toka Mkoa Wa Dodoma au Morogoro, wilaya ya Gairo, Bahi...
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Tunakodisha na kuuza vifaa vya barabara na ujenzi. Tunapatikana Dar-es-salam, Dodoma na Singida. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wote wenye uhitaji wa fulanaa Kali zilizokwixha printiwa zinapatikanaa hapaa kwangu nichek kwa nambar 0658176932 or 0742036732 au unaweza kunichek instragram follow me...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
-Liko eneo la Makazi Mapya -Linafaa kwa kujenga kituo cha mafuta -Liko eneo la mapandanjia -Bei maelewano
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Certified Information Systems Audit (CISA) Mock Test is scheduled to be conducted on 21/04/2018 at DSM City Center. This Mock test covers all the domains and is based on the guidelines provided...
0 Reactions
3 Replies
911 Views
Habarini wakuu, nilikua nauliza wapi nitapata vifaa vya majiko ya Gesi Kwa bei ya jumla nipo dar es salaam
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wandugu Nauza Kiwanja changu kwa bei nafuu sana. Kiwanja kipo Bunju A Mtaa wa Senzele yaani ukishuka kituo cha Bunju A Shule unatumia dakika 8 kwa bodaboda kufika eneo kiwanja kilipo. Kina ukubwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari Natafuta NYUMBA ya vyumba viwili, sebule ,choo na jiko Au chumba sebule ,choo na jiko Haraka sana ,inahitajika maeneo ya ubungo Mwenye nayo ani PM ,tufanye biashara
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu mwenye vumbi.la Kongo anione pm. Nahitaji sana... Nitampa laki bila kipingamizi.
1 Reactions
24 Replies
5K Views
2500cc Petrol/Gasoline Automatic Grey 4 Doors 2 Airbags 1G Engine New Tyres with Sports Rims Heavy sound system Only 1 year in Tanzania
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JE WAJUA VIZURI KUHUSU SUPER GRO??? [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] -Super gro yaweza kukuongezea mazao mara tatu zaidi ya matarajio? - Super gro...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nazi nzuri,kubwa zilizokomaa nazi moja ni sh elfu 1,nafanya delivery kuanzia nazi 10 around city centre bure..usisumbuke kutafta nazi watu wa dar nipo kwa ajili yenu,wateja wa jumla pia karibuni...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Habari Naomba kujua gharama za embe bei jumla
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nauza camera tajwa hapo.. Napatikana iringa na dodoma.
1 Reactions
1 Replies
919 Views
Nahitaji earphones nipo arusha Sinunui reja reja nanunua jumla kuanzia piece 5 na kuendelea hivyo nahitaji kWa bei ya punguzo kama unazo dukani na pia ziwe za aina yoyote za bei rahisi kama unazo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Viwanja viwili na.45&47 vinavyofuatana vinauzwa kwa Tshs. 5mln@ na bei inapungua. Mahali:Makutano Ukubwa:MD Eneo:1,800sq.m Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba ipo Pumwani Mita mia 2 kutoka ilipo barabara ina vyumba viwili vilivyokamilika na ina eneo kubwa la kujenga metre 20 kwa 28 gari linafika hadi mlangoni kuna umeme maji ndo usiseme nauli ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naitwa Enock, napatikana Mbeya, mimi ni fundi wa kutengeneza sofa pamoja na vitanda vya sofa. Napokea oda pia kama ukihitaji. Mawasiliano yangu ni 0652874876, 0621053216 na 0758079171
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Simu bado ipo kwenye condition nzuri, haina crake wala mchubuko kwenye screen, inahifadhi chaji, ina nchi 7, 16 Gb na 1 Gb Ram, kwa 180,000 tu, unapata na Flip cover yake.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom