Habari wana jamvi,
Kampuni ya Urban Farming inayojihusisha na utafiti na uzalishaji wa viazi lishe, ikijikita nyanda za Kazikazini hususani mkoa wa Arusha.
Inakutangazia kuwa wameanza kuvuna...
Habari wandugu
Naomba kuuliza bei na sehemu wanaponunua miamvuli,nylon coats(rain coats) kwa bei ya jumla nataka niongeze bidhaa dukani mana ni fursa hasa kipindi hiki cha mvua.
Napatikana DSM...
HP compaq Desktop inauzwa 250,000/-
HDD 250 Gb
RAM 2.00 Gb
Processor Intel (R) Core (TM) i3-2120 CPU @ 3.30Ghz
One CD rom drive
Monitor DELL 21 inch
Keyboard
Mouse
All wire cable
Kwa mawasiliano...
http://www.kibitidc.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/MIKOPO YA TREKA.pdf
NB:
tangazo lina jieleza... uvivu wa kitanzania na maswali ya siyo ya msingi wakati mimi ni informer tu...
HIVI NDIVYO UNAYO WEZA KUUNDA KICHWA KWA KUTUMIA 3D PROGRAM
UNAWEZA FANYA HIVI ENDAPO UKIWA NA ELIMU YA 3D PROGRAM AMBAYO TANZANIA KWA SASA VIJANA WENGI WANA ISOMEA HII APAAA
YouTube BONYEZA HAPA...
Husika na kichwa Cha tangazo happy Juu ninauza used laptop aina ya Lenovo na Hp.sifa zake hizi hapa
1. used lenovo thinkpad x220 medium pc, processor core i5-2520M,ram 4gb,hdd...
Habari wakuu, nasikia kipindi cha mavuno mpunga hufikia hadi elfu tano kwa debe moja na gunia hufikia hadi elfu hamsini. Swali langu ni kwamba hili debe ukikoboa unatoa kg ngapi za mchele? Na hili...
Habari
Gari aina ya Toyota raum new model inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji.
Gari ni namba DEB ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za...
Habari zenu wadau...
Mimi ni mtumishi nimepangiwa kazi halmashauri ya wilaya ya musoma mjini... Nilikuwa naomba kujua bei elekezi ya vyumba vya kupanga chumba na sebule itapendeza ikiwa na choo...
'It's hard to say when but this is a certainty': Bill Gates warns another financial crisis is coming like the 2008 Great Recession
Bill Gates participates in a Reddit 'Ask Me Anything' and...
Napenda niwasalimie wana jamii forums,natumai hamjambo,kama unajihisi hauko sawa kiafya basi nikupe pole.
Wapendwa,naomba niwasaidie watu wenye shida ya amoeba,kiukweli ni ugonjwa ambao unakosesha...
Wakuu naomba kufahamu namna na gharama za kupokea parcel kutoka Uingereza kuja Tanzania kwa njia ya diplomatic
Hii inakuwaje na garama zikoje
Natanguliza shukrani zangu
Nazi nzuri,kubwa zilizokomaa nazi moja ni sh elfu 1,nafanya delivery kuanzia nazi 10 around city centre bure..usisumbuke kutafta nazi watu wa dar nipo kwa ajili yenu,wateja wa jumla pia karibuni...
Cd ni use bt ni exellent condition (karibu ya upya)
-Horizon zero down
-Call of duty B.O 3
- Battle field 1
Bei ni 100k tahfifu ipo isipokua kwa horizon ZD tu
zilobaki bei ni 50k fixed
Shukrani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.