Ninauza simu mpya za kisasa toka nje ya nchi kwa bei nzuri kabisa. kama unahitaji unaipata ndani ya siku 5- 7 unaletewa ulipo. utaratibu ulivyo ni kuwa utatoa Advance kiasi ambacho tutakubaliana...
Waungwana, nimepata soko la ''organic honey'' inayopatikana hasa Tanzania natafuta mtu wa ku-partner awe na kampuni yenye business profile na certified ya TFDA
Please inbox
Je unataka kujiajiri lakini hauna wazo ufanye biashara gani?
Je una mtaji kidogo chini ya 100,000?
Je wewe ni mchapakazi na muaminifu?
BEAH NUTRI-FLOUR inajihusisha na uuzaji wa unga bora wa...
Habari zenu wakuu…!
Sasa waweza kupata mayai ya kienyeji (fresh) yaliyotagwa ndani ya masaa 48 (siku mbili) moja kwa moja kutoka shambani (Bunju B – Mabwepande), yanafaa kwa kuliwa na pia kwa...
We live in a world where 2 + 2 = 5, Just as 1 + 1 +1 = 1
If you are confused [emoji53], read this:
Who is god?
Jesus
Is Jesus the son of Mary?
Yes
Who created Mary?
God.
Who is God?
Jesus...
PLATINUM INAKUPA MKOPO NDANI YA MASAA 24 DHAMANA YAKO NI MSHAHARA WAKO TU PILI UNATAKIWA UWE UMEAJIRIWA NA SERIKALI
VITU MUHIMU VYAKUWA NAVYO
1.passport 1
2.hati ya bank (bank statement)...
Kwa mahitaji ya bima za afya kwa ajili ya makampuni makubwa kwa madogo, familia, na mtu binafsi, Taaasisi, vikundi vilivyo sajiliwa. ni PM kwa maelezo zaidi au nitafute kwa
No. 0676 488 955...
Habari wana jukwaa
Natafuta pikipiki aina ya boxer 150 itapendeza kama itakuwa ndani ya mkoa wa Tabora ili kusiwe na vijigharama vya ziada mf. usafirishaji
Ahsanteni
"Southern Consult and Agro-Products Company (T) Ltd (SCAP) ni kampuni ya kizalendo inayojishughulisha na biashara mbalimbali za ushauri wa kitaalam wa uendeshaji miradi ya maendeleo (project...
There are over 20tons of raw ginger, a buyer needed!
Apart from fresh ginger there are also dried high quality cardamon over 10tones. Plz inbox if you are a buyer
Saalam kwa wote.
Naomba kufahamishwa eletronic payment system ambayo ni nzuri kuitumia kwa hapa Tanzania.Mfano wa electronic payment ni kama Neteller,Skrill,Webmoney,Cashu n.k.Nataka kujua hasa...
Habari wandugu
Natafuta mtu (mwenye bidhaa za nafaka kama Maharage,mahindi,choroko n.k) atakayekuwa ananisafirishia kwa bus kwa bei ya jumla. Mi napatikana DSM kimara. Kama unazo njoo pm tuyajenge...
Habari zenu wanajamvi!
Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema na upendo juu yetu.
Natafuta risiva ya freesat v7, combo au max , nimejaribu kupita kwenye blog mbali mbali nimeona bei yake...
OFA YA BANDO BEI YA KUTUPA #0627419653
Pata sasa GB30,Dakika 500 na sms unlimited mtandao wa Tigo,Voda na Airtel ndani ya siku 90,Kwa Gharama ya Tsh 20000
Kuunganishwa Nicheki hapa 0627419653
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.