Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji ng'ombe wa kisasa wa kufuga mwenye uwezo wa kutoa lita zaidi 20 za maziwa. awe na mimba na mwenye naye anijulishe na bei anayouza. Mimi niko Moshi.
Habari wakuu mm ni mgeni humu kwenye jamvi ninashida ya Ng'ombe wa maziwa mwenye uwezo wa kutoa lita 15 na zaid.Niseme nimekua ni mfugaji wa ng'ombe wa maziwa hawa wa mchanganyiko wa kienyeji na...
Waheshimiwa nina shamba la Muhogo, lipo eneo la Dundani, kilometa chache kufika Mkuranga. Kwa mwenye fununu juu ya soko. Au kwa anayehitaji plzzzz contact me
Wenu Mwali wa Giningi
Kuku kuchi ni jamii ya kuku wa kiswahili ambao wapo tafauti kimaumbile na kimazingira.
Kuku kuchi ni kuku ambao bei zao ni tafauti na kuku wa kiswahili..wapo wanao watumia kwa kupiganisha na...
Tunauza na kusambaza miche ya miti ya mbao ( mitiki), kwa mikoa ya dar es salaam Pwani na Morogoro,
Bei Tsh. 400 kwa mche
White teak 500
Pia tunauza miche ya miti ya matunda kama vile miembe...
Habr guyz, kwa yeyote anaehtaj frij la mtumba dogo la mlango m1, kubwa la milango miwili na friza aniPM. Yanapatkana kwa bei ya elf90 mpk laki2. Mazuri na yanadumu muda mrefu. Karibu.. NiPM
Kama wewe unafanya biashara halafu huna website hapa ndio penyewe.
Tunatoa huduma zifuatazo
*tengeneza blog na website poja na apps kwa gharama nafuu kabisa
*tuna tangaza biashara yako na...
Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli
>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa...
Habarini
wakuu nauza laptop aina ya sony vio kwa 250,000
Specification
Intel pentium
Ram 4gb
Hd gb 500
64 bit
Matatizo
Baadhi ya batani hazibonyezeki ni ya kubadilisha mother board
Betri...
Salaam wana uchumi
Nina gunia zangu 10 za mahindi mkoani kigoma,nataka kuziuza wale wenye uzoefu wa biashara ya mazao mnijuze bei zimekaaje kwa wakati huu
Asanteni
Samsung j2 Iko katika hali nzuri inauzwa
Ina yafuatayo:
Speed yake ni 1.4GHz
Saizi yake ni inchi tano
Kamera ya mbele ni 5 MP na Kamera ya nyuma ni 8 MP
RAM yake ni 1.5 GB
ROM yake ni 16...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.