Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,785
Samsung j2 Iko katika hali nzuri inauzwa
Ina yafuatayo:
Speed yake ni 1.4GHz
Saizi yake ni inchi tano
Kamera ya mbele ni 5 MP na Kamera ya nyuma ni 8 MP
RAM yake ni 1.5 GB
ROM yake ni 16 GB
Inatumia laini 2
Betri 2600maH
Unaweza kutumia internet kwa zaidi ya saa 10
Unaweza kucheza nyimbo za AUDIO kwa saa 60
Unaweza kuangalia VIDEO kwa saa 14
Na kuongea kwa zaidi ya masaa 18
bei : laki 1 na 50.
location ": mwanza
karibu pm anayehitaji kwa maelezo zaidi.
Karibuni.
Ina yafuatayo:
Speed yake ni 1.4GHz
Saizi yake ni inchi tano
Kamera ya mbele ni 5 MP na Kamera ya nyuma ni 8 MP
RAM yake ni 1.5 GB
ROM yake ni 16 GB
Inatumia laini 2
Betri 2600maH
Unaweza kutumia internet kwa zaidi ya saa 10
Unaweza kucheza nyimbo za AUDIO kwa saa 60
Unaweza kuangalia VIDEO kwa saa 14
Na kuongea kwa zaidi ya masaa 18
bei : laki 1 na 50.
location ": mwanza
karibu pm anayehitaji kwa maelezo zaidi.
Karibuni.