Msaada: Mnijuze bei ya gunia la mahindi

Msaada: Mnijuze bei ya gunia la mahindi

Joined
May 20, 2017
Posts
73
Reaction score
168
Salaam wana uchumi

Nina gunia zangu 10 za mahindi mkoani kigoma,nataka kuziuza wale wenye uzoefu wa biashara ya mazao mnijuze bei zimekaaje kwa wakati huu

Asanteni
 
Duh mpaka msimu huu watu wameanza kulima mengine bei ndo hizo,itakuja kufika 10000 kwa gunia
 
Matunda ya Kaulimbiu ya "KILIMO KWANZA TUMEYAONA"
 
Salaam wana uchumi

Nina gunia zangu 10 za mahindi mkoani kigoma,nataka kuziuza wale wenye uzoefu wa biashara ya mazao mnijuze bei zimekaaje kwa wakati huu

Asanteni

Nakushauri ujaribu kutumia ninayo.com itakusaidia kujua Bei ya kununulia na kuuzia kwa mikoa na masoko mbali mbali
 
Back
Top Bottom