Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sim laki 3..300000..ina internal storag ya 32gb Ram ya 2gb Camera 16mp Ni mpya.. Ina uwezo mkubwa sana.. Nipo ubungo usiku..tegeta mchana.. 0713099309 nipo.watsap.pia Bei laki 3 tu. 300000 tu
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Nipo ubungo DSM,natafuta baiskeli ya kawaida used ninunue bajeti 50000/=
0 Reactions
46 Replies
6K Views
*FULSA FULSA FULSA* Wakazi wote wa Sumbawanga na vitongoji vyake *Sky Traders kutoka Dar es salaam,* inakualika wewe unayetaka kijikwamua kiuchumi na kuongeza kipato. katika mafunzo maalum...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF, nawasalimu nyote!! Viwanja vinauzwa eneo la Ndurruma Arusha DC. Square Mita ni Square ni 2,500. Umeme na Maji zipo. Karibuni sana. Piga 0786224248.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa mahitaji ya ramani za majengo kwa bei nafuu kabisa wasiliana nami kupitia 0653088506
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Joining instruction form five 2018/2019,Lufilyo secondary school halmashauli ya Busokelo,Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya .
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Wataalamu nahitaji fundi wa photocopy aina ya Nashuatec sijui inashida gani . Nataka anichekie kiundani zaidi
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Habari zenu wakuu, Naitaji Tsh 90000/= kwa ajili ya kulipia pango,naweka bond baiskeli yangu ambayo ni Tubeless tyres,Nipo Arusha. Tafadhari Naitaji msaada wako.Ni PM
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu natafuta gari RAV 4 old model, Sifa Namba=B/A/C Rangi=nyeupe au silver Mengine majadiliano, bei isizidi 6.5m Niko Dsm Nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani samahani kwa usumbufu kwa ANAEJUA jinsi ya kupata mb nyingi kwa laini ya Airtel na halotel anijulishe
0 Reactions
8 Replies
5K Views
liq
0 Reactions
17 Replies
7K Views
wadau sisi ni kampuni ya HZL tunapatikana Arusha AICC tunashughulika na maswala ya trainings za ujasiriamali, customer care, human resource, lugha mbali mbali n.k tunashughulika pia na uandaaji...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama jumbe wangu unavyojieleza hapo juu, please anayeuza gari aina ya subaru forester jaman, aje dm tufanye bashara ila iwe number D. Na iwe kwenye hali nzuri.
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Hello ndugu zangu habarini za jumamosi, Jana nimefanikiwa kuvuta dstv kiukweli channel ni nyingi ktk kifurushi cha bomba na offer yao ya miezi miwili inaitwa THE PUNGUZO buree, kwa 79,000/= na...
2 Reactions
260 Replies
25K Views
Habarini sana wakuu! Samahani, nipo hapa Dar naomba msaada wa kuelekezwa duka au kufahamisha wapi au namna naweza kupata hizi Swiss Gear Backpark. Ahsanteni.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba yeyote anayeuza au kujua mtu anayeuza Ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita kuanzia 6 kwa mkamuo, naomba anitaarifu nahitaji ng'ombe wawili wa aina hiyo. Kama wakiwa jamii ya...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Natafuta Laptop Used mtu aniuzue . Iwe kwenye hali nzuri Ram iwe kuanzia 3GB ikiwa 5GB itapendeza . HDD iwe 500GB na kuendelea. Bajeti yangu ni 300k to 250k kulingana na ubora wa PC yenyewe...
0 Reactions
4 Replies
700 Views
Habari wakuu, Jipatie huduma mbali mbali za usafi wa majumbani kutoka kwa wafanya usafi wazoefu na waaminifu. Hii ni maalum kwa wakazi wa Dodoma mjini. Wasiliana nao kwa njia zilizo ktk...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom