Una mtungi empty uliokamilika wenye kisahani na kidude chake cha kutolea moto, nicheki fasta,
Miham,oil au orex
Price:Tsh 35,000
nafata mwenyewe
Niko dar
For more details
call/sms/wtsp...
Kiwanja kinauzwa sistila makazi mapya kipo sehemu nzuri kimepimwa kina ukubwa wa sq meter 541 kina hati miliki bei mil 10. Kipo sehemu nzuri kipo karibu na shule ya secondary, hospital na soko.
Kiwanja chenye ukubwa wa 25 *25 sqm kinauzwa eneo la michese Iringa road jijini Dodoma.
bei ni 1.7 milioni na inaweza lipwa kwa awamu.
Eneo lipo km 8 toka city centre na lina huduma zote kama...
Nahitaji kununua 4G mifi router, iwe na lock au haina lock haijalishi ila ikiwa ni huawei ITAPENDEZA ZAIDI, kwa alienayo anitafute 0717701778 tufanye biashara.
Nahitaji kununua 4G mifi router, iwe na lock au haina lock haijalishi ila ikiwa ni huawei ITAPENDEZA ZAIDI, kwa alienayo anitafute 0717701778 tufanye biashara.
Wana jf wote kwa pamoja ..husiken na mada tajwa hapo juu..mim binafsi ni mjasiliamali wa uuzaji wa incubator na uuzaji wa kuku aina zote...
Ninauza vitabu vya ujasiriamali jinsi ya kufuga...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
habari wadau..
nauza rice cooker mpya aina ya von hotpoint..
na pasi mpya aina hiyo hiyo..
ni mpya kabisa havijawai tumika hata mara 1...
sababu ya kuuza ni sina plan ya kuvitumia kabisa...
Ipo Mwananyamala Komakoma Pembeni Ya Kanisa Anglican,lami mpaka mlangoni,kuna parking geti,maji vyumba viwili vya kulala sebule kubwa,jiko choo cha ndani
Nahitaji msichana wa kazi za ndani kutokea kijijini asiwe ambaye ameshakaa mjini umri uwe miaka 22-30 atafanya kazi za ndani kwa uaminifu, mshahara sh 70,000 asiwe mfupi maana wana hasira sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.