Natafuta ng'ombe wa maziwa location DODOMA

Natafuta ng'ombe wa maziwa location DODOMA

Mersen

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
57
Reaction score
65
Habari wakuu mm ni mgeni humu kwenye jamvi ninashida ya Ng'ombe wa maziwa mwenye uwezo wa kutoa lita 15 na zaid.Niseme nimekua ni mfugaji wa ng'ombe wa maziwa hawa wa mchanganyiko wa kienyeji na kisasa nataka nihamie kwenye ng'ombe wenye faida zaidi kulingana na mahitaji ya soko la DODOMA naombeni ushirikiano wenu.
 
Habari wakuu mm ni mgeni humu kwenye jamvi ninashida ya Ng'ombe wa maziwa mwenye uwezo wa kutoa lita 15 na zaid.Niseme nimekua ni mfugaji wa ng'ombe wa maziwa hawa wa mchanganyiko wa kienyeji na kisasa nataka nihamie kwenye ng'ombe wenye faida zaidi kulingana na mahitaji ya soko la DODOMA naombeni ushirikiano wenu.
=======!:" Ng'ombe wa maziwa, tunao, wanauzwa friesian, Ayrshire wenye mimba, wasiliana nasi 0754987809,
 
Back
Top Bottom