Upimaji wa udongo kwa kilimo bora
Mlingano, Tanga Tanzania
Kwa ukulima bora na wa kisasa tunawashauri wakulima na wawekezaji ktk kilimo kupima rutuba ya udongo ili kujua virutubisho vilivyomo...
Nauza Line za Uwakala
Tigo :200000
Voda :150,000
Airtel : 150000
documents zote zipo.
Bei nilizoweka hapo ni FIXED.
Location: MWANZA.
Kama muhitaji serious karibu PM.
Update : TIGO LINE...
Mwaka : 1999
Cc : 1980
Km : 138122
Petrol
Automatic
Ina4wd
Mahali hilipo :magomen
Gari ipo safi haina shida injini safi gia box safi
Bei : mill 3.85(bei haipungui)
Simu ...
Ndugu zangu kila siku natafuta kitu cha kufanya ili niongeze kopato nilikuwa nakwama kutokana na mazingira niliyopo, nimetamani kwenda chuo kuchukua degree ya ACC. lakini TCU wamekuja na hili la...
Wakuu salama!
Nimekuwa nikitafuta kijana, mchapa kazi mzuri katika kunisaidia kazi za ufugaji wa kuku na Mbwa.
Lakini pia shughuli za kilimo.
Cha ajabu na cha kushangaza vijana wengi wa...
Kwanza kabisa ninauza kitabu cha kujifunza kiingereza nacho kinaitwa
jifunze kiingereza kwa kiswahili.
Playstore sh.10000.(App)
Kwa browser sh 7000.(website)
Kitabu hichi kina topic 4...
Habarini tena.
Wallet nyingine zimekuja za kiume. Ni za PU-Leather. Kwa sasa nina models mbili. Slim wallet na nyingine nene.
Wallet nene zina card slots 8, mfuko wenye zip kwa ajili ya coins na...
Habari wadau;
Ninahitaji msaada kwa ambaye ni dereva wa malori yanayotoka arusha kuja dar yakiwa bodi.
nahitaji kufahamu gharama za kusafirisha kitanda 5 by6 na godoro pamoja na sofa ya watu...
Wadau nilikiwa naomba kujua mwenye kujua malipo ya msajili laini za tigo anavyolipwa ili na sisi vijana tupiganishe tupate nafasi ilituweze kupata mitaji kwaajili ya kuanzisha biashara
Karanga zilizobanguliwa zinauzwa. Kilo ni shilingi 1,800/=
Zipo Dodoma.
Zipo tani tano, tunauza zote kwa jumla..
Karibuni sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
Karanga zilizobanguliwa zinauzwa. Kilo ni shilingi 1,800/=
Zipo Dodoma.
Zipo tani tano, tunauza zote kwa jumla..
Karibuni sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.