Tunauza miche ya miti ya matunda na mbao

Tunauza miche ya miti ya matunda na mbao

de pedezyee

Senior Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
105
Reaction score
109
Tunauza na kusambaza miche ya miti ya mbao ( mitiki), kwa mikoa ya dar es salaam Pwani na Morogoro,
Bei Tsh. 400 kwa mche
White teak 500

Pia tunauza miche ya miti ya matunda kama vile miembe, michungwa, chenza, parachichi nk. Kwa shilingi 2000.

Tunauza miche ya minazi ipo ya aina 2, east African tall inaanza kutoa nazi kuanzia miaka 7 life span yake ni miaka 100, na mbegu fupi inaanza kutoa nazi kuanzia miaka 3 life span yake ni miaka 45, gharama ni Tsh 5000 kwa mche,..

Miche ya papai shilingi 5000.
Hii ni Malkia F1.

Kama unahitaji miche ya aina tofauti wasiliana nasi tutaiandaa kwa ajili yako

NB: Gharama zitapungua kulingana na idadi ya miche unayohitaji, ofisi zetu zipo Morogoro..

Malipo ni baada ya kupatiwa huduma karibuni sana

Contacts.
WhatsApp/call/text
0766006128
0655715184
 
Safi na hongereni..na shida na miche ya korosho na takajua ni pesa ngapi/mche na hekari moja ina meza miche mingapi kama ni mtaalamu wa iyo mambo.

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
Safi na hongereni..na shida na miche ya korosho na takajua ni pesa ngapi/mche na hekari moja ina meza miche mingapi kama ni mtaalamu wa iyo mambo.

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Shukrani
Korosho zinapandwa kwa umbali wa mita 8x5 ukianza na miche, baada ya miaka mitatu unapunguzia na kuacha inayoweza kukua vizur kwa umbali wa mita 12x10
Hivyo unapoanza kupanda ekari moja inachukua miche 112.
Gharama ni Tsh 1000 kwa mche
 
hii ni nzuri sana japo ungesema ni morogoro ipi hicho kitalu cha miche yako kilipo, kama ni mafiga, kihonda, Liti, magadu, bigwa, mazimbu.......angalau kumpa upeo mpigaji wa simu yako, ili kukadria gharama za kuifuata. Ni hayo tu. Mi nahitaji sana japo vipi miti aina ya pomelo na madalance pia na quashnut je mnayo hapo?

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
hii ni nzuri sana japo ungesema ni morogoro ipi hicho kitalu cha miche yako kilipo, kama ni mafiga, kihonda, Liti, magadu, bigwa, mazimbu.......angalau kumpa upeo mpigaji wa simu yako, ili kukadria gharama za kuifuata. Ni hayo tu. Mi nahitaji sana japo vipi miti aina ya pomelo na madalance pia na quashnut je mnayo hapo?

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Kitalu kipo ifakara ila kwa gharama hzo ni pamoja na kukufikishia eneo jirani na ww. Nikimaanisha kwa wakazi wa dar tunaifikisha ubungo, Pwani na morogoro tunaangalia maeneo jiran na ulipo,..

Kwa sasa tupo kwenye maandalizi ya kuanzisha vituo kigamboni na kisarawe ili iwe rahis kwa utoaji huduma
Miche ya aina zote utaipata.
 
Hadi kufikia mwezi wa 11 kituo cha kigamboni kitakua tayari kwa huduma ikiambatana na uuzwaji wa vifaranga vya samaki aina ya sato
 
Tunauza na kusambaza miche ya miti ya mbao ( mitiki), kwa mikoa ya dar es salaam Pwani na Morogoro,
Bei Tsh. 300 kwa mche

Pia tunauza miche ya miti ya matunda kama vile miembe michungwa, miparachichi ...
Kwa gharama ya Tsh 1000 kwa mche,

Tunafanya cross breeding ya miche ya miche ya matunda ambapo inawezesha miti kuanza kutoa matunda kuanzia miaka mitatu (3).
Kwa gharama ya Tsh 1500 kwa mche.

Tunauza miche ya minazi ipo ya aina 2, east African tall inaanza kutoa nazi kuanzia miaka 7 life span yake ni miaka 100, na mbegu fupi inaanza kutoa nazi kuanzia miaka 3 life span yake ni miaka 45, gharama ni Tsh 5000 kwa mche,..

Kama unahitaji miche ya aina tofauti wasiliana nasi tutaiandaa kwa ajili yako

Vilevile tunatoa ushauri wa miti unayoweza kupanda kwenye shamba lako ambayo itaweza kustahimili eneo husika na kukua kwa muda mfupi kulingana na aina ya udongo na mahitaji ya mti husika.

NB: Gharama zitapungua kulingana na idadi ya miche unayohitaji, ofisi zetu zipo Morogoro..
Malipo ni baada ya kupatiwa huduma karibuni sana

Contacts.
Call 0766006128
Watsap tu 0683433440
Asante sana mkuu nitakutafuta Whatsapp. Ninahitaji minazi na miembe.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nikitaka miche ya "Penshen" mnafanya bei gani kwa mche??
 
Miche ya papai malkia F1 (red papaya).
Sh. 5000/-

WhatsApp/call/text
0766006128
0655715184
 
Back
Top Bottom