Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

UPDATE: GARI LIMESHAPATA MTEJA Hello wadau, Nauza Suzuki Carry Milage ni 110,380km Inatembea, haina shida. Matengenezo ni vitu vidogo vidogo kwenye body. Nimekaa nayo miaka 2 Imetumika kwa kazi...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nahitaji kiyoyozi kimoja tu kwa ajili ya ofisi yangu, bajeti yangu ni 280,000/= Tafadhali mwenye nacho anauza please DM me.
1 Reactions
1 Replies
827 Views
Natafuta fundi wa kuchinja laptop yangu au anayenunua akarekebishe power switch, nimekata cable ya power switch bahati mbaya wakati narekebisha hinge za laptop zilikuwa ngumu sana. Computer ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
As per heading above. Nina kiwanja Kimbiji eka moja. Natafuta mtu wa kubadilishana naye kwa upande wa Madale, Mvumoni au Goba. kwa kuwa napenda kukaa maeneo hayo tajwa basi sitoangalia ukubwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Niulize chochote kuhusu samaki wa kufugwa au wanaojulikana kama samaki wa mapambo: 0712505049.. Nipo Dar. Pia nauza samaki hawa nasafirisha hadi mikoani kwa gharama ya elfu kumi hadi elfu 20...
1 Reactions
38 Replies
12K Views
Habari wanabodi, Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari mimi jackson fundi madishi ukiwa una shida au unahitaji kufungiwa kalibu sana popote nitafika ndani ya Dar kwa bei ya 20,000 Tu. Namba za simu 0745305256, 0625563390, 0718166275 kalibuni nyote.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina shida Sana na kabati la chuma kama hilo. Mwenye kuwa nalo ambae anatengeneza please naomba nijuze nalipata wapi au hata kama unajua linapatikana wapi nijuze.
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Anaejua bei ya alizeti singida naomba tujulishane.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nauza hdmi cable mita 25 ipo katika hali nzuri ni mpya haijawai kutumika sema ilikuwa stoo
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu! Nahitaji kuanzisha biashara tajwa hapo juu wakuu, Maeneo niliyo ya sort la kwanza ni Mbagala na Kimara. Naomba mwenye uzoefu na biashara hii anisaidie mawazo juu ya mambo...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Model: 55UJ651 Display Display Type LED Screen Size (in.) 55 Resolution 3840 x 2160 BLU Type Edge Video HDR Active HDR └ HDR10 Yes └ HLG Yes ULTRA Luminance Yes...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Machine ya SELCOM kwa ajili kukata. Luku King'amuzi Vocha zote Tigo pesa, Mpesa, Airtel ..... n.k Na huduma zingine nyingi. Machine haina tatizo lolote na ina miezi 3 tu tangu niinunue Ila...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
chuo cha kilimo na mifugo endelevu, mahinya mkoa wa ruvuma kinatoa course za certificate in general agriculture and certificate in animal health and production chuo kimesajiliwa na NACTE...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Salama Wakuu? Ninahitaji used pavement blocks, nipo Arusha. Kama unayo au unafahamu mtu aliyenayo, tadhali tuwasiliane kupitia 0754 754 593. Barikiwa sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nauza contener la futi 20 kwa pesa za kitanzania shilling million 3 contener lipo maeneo ya mbezi kwa mawasiliano zaidi kama unahitaji njoo pm
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji memory card moja yenye capacity ya 128GB. Naomba kufahamu wapi zinauzwa na price yake, au kama kuna mtu anaziuza nicheck. Nilipita maduka kadhaa kariakoo sijapata ya ukubwa huo, nyingi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Brand new popcorn machine Uses electricity only Large size 1 year warranty 300000/= only Free delivery in dar Whatsapp/call 0672493810
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naitwa yustin nipo arusha ni mwanafunzi wa coz ya umeme diploma arusha technical kwa mafundi umeme ningependa kujitolea ninapokuwa na nafasi kwa mafundi wazoefu wa umeme arusha unaweza nitafuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…