Bei ya alizeti

Bei ya alizeti

Kama zipi mkuu, nilitaka kujua kilo ni sh ngapi kwa singida au babati. Lkni pia kama unayo mikoa mingine weka bei kwa kilo au gunia nahitaji gunia 100
 
Habari wakuu! Poleni na majukumu!
Naomba kuuliza kama kuna mwenye anajua recent price ya alizeti aweze kuni-update
 
Habari wakuu! Poleni na majukumu!
Naomba kuuliza kama kuna mwenye anajua recent price ya alizeti aweze kuni-update
Nilikua sgd juzi gunia ni kati ya 55 na 60 kwasasa na mafuta lita 20 ni 58 bila dumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom