LAPTOP INAUZWA, AU NIUZIE POWER SWITCH

LAPTOP INAUZWA, AU NIUZIE POWER SWITCH

BENNICK

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2013
Posts
634
Reaction score
866
Natafuta fundi wa kuchinja laptop yangu au anayenunua akarekebishe power switch, nimekata cable ya power switch bahati mbaya wakati narekebisha hinge za laptop zilikuwa ngumu sana.
Computer ni HP-15-r000na
Specifications
RAM-2GB
HDD-500 GB
Wifi/Bluetooth
15.6 inc screen
Battery life- 4 hours
Ina adapter yake kama inavoonekana.
Ukiamua kuchinja unato RAM, HDD, Battery, Screen, Motherboard, Feni, Keyboard,Wifi/Bluetooth adapters kila kitu kizima. Tatizo ni power button haifanyi kazi cable yake ya ndani imekatika.

Bei jipangie mwenyewe, lakini kuwa fair sababu chombo ni nzima isipokuwa power switch tu.
Pia kwa atakayekuwa anafahamu au anauza hiyo switch ya hp-15 naomba tuwasiliane ikishindikana kuuza niirekebishe niendelee kutumia.
Mawasiliano;ATTACH=full]825222[/ATTACH]
IMG_20180802_194005_HHT.jpg
IMG_20180802_194014_HHT.jpg
IMG_20180802_194024_HHT.jpg
 

Attachments

  • IMG_20180802_194048_HHT.jpg
    IMG_20180802_194048_HHT.jpg
    48.4 KB · Views: 54
kwahiyoo mashine kuiwasha mpaka ugusanishe nyaya au ujuzi gani unafanyika boss
 
Kuna means yakufanya hata usipopata switch. Nenda kwa mafundi wakufanyie iwake wakati ukisubiri kupata switch button kutoka kwa mafundi hao hao. Kwanza uko wapi ktk nvhi hii
 
Kuna means yakufanya hata usipopata switch. Nenda kwa mafundi wakufanyie iwake wakati ukisubiri kupata switch button kutoka kwa mafundi hao hao. Kwanza uko wapi ktk nvhi hii
Shukrani kwa ushauri boss. Nipo Mbeya City Council
 
Back
Top Bottom