Marce Martella
Member
- Feb 23, 2018
- 26
- 20
Habari wanabodi,
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema sana.
Location😀ar es salaam
Shukrani
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema sana.
Location😀ar es salaam
Shukrani