Wapi naweza pata mayai ya kuku aina ya sasso?

Wapi naweza pata mayai ya kuku aina ya sasso?

Joined
Feb 23, 2018
Posts
26
Reaction score
20
Habari wanabodi,
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema sana.
Location😀ar es salaam
Shukrani
 
Habari wanabodi,
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema sana.
Location😀ar es salaam
Shukrani
NYUZI ZA KILIMO ZIMESUSWA KINOMA,NAHISI WATAKUJA
 
Habari wanabodi,
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema sana.
Location😀ar es salaam
Shukrani

Kuna kampuni inaitwa Silverlands ukiwacheki unaweza kujua hili swala wao huwa wanauza vifaranga vya saso wapo iringa, mimi juz tu nimenunua....
 
Ingia fb mtafute Samson Mollel
Screenshot_20180722-144125_Facebook.jpg
 
Unaweza kunisaidia namba yao mkuu?? na je wapo iringa sehemu gan??

wapo ihemi mkuu, namba zao nenda kwene website yao andika silverlands tanzania utawapata mkuu, ANGALIZO, nilinunua SASO MIA MBILI JUZ TU WAMEKUFA KARIBIA WOTE LEO NNAO KUMI TU...sasa sijui SASO WAO WA SAFARI HII WAKOJE JAPOKUWA HUWA NANUNUA SASO KWAO MARA KIBAO NA SIJAWAH EXPERIENCE HII KITU
 
Back
Top Bottom