Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kichwa cha habari kinahusika, Natafuta fundi wa welding mwenye generator na machine ya welding. Mi Naishi mpiji magoe mbezi ya kimara ambako umeme haujafika ninakazi ya siku moja. Ninatafuta fundi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini... naomba kuuliza vilipo viwanda vya pedi kwa ajili ya wanawake na kiwanda cha baby diapers jijini dar es salaam. Nina uhitaji wa kufika huko na sipajui,,, msaada wa maelekezo ya uelekeo...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza shamba langu mwenyewe lipo nala mjini dodoma ukubwa ni heka tatu kila heka moja ninauza laki saba(700000) tu ninauza sababu ya ninaumwa nilipata ajali week iliyopita sasa mfukobumeyumba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimemaliza kidatocha sita mkoani Mbeya wilaya ya Kyela Lakini sikufanikiwa kupata Chuo ..nikanza kuza vifaa vya simu kama makasha chaji.n.k lakini sijajua sehemu ambapo nichimbo la bidhaa izo kwa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
(1) SPEED HD S1(SUPPORT SIM CARD & MODEM FOR IPTV STREAMING) (2) STRONG SRT 4669X (3) HUMAX IR HD 1000 Bei kwa zote 180000/
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu,kwa wale wazoefu wa shughuli hasa maharusi,naomba tujuzane kumbi nzuri na bei zake kukodisha,kwa maeneo yoyote hapa Dar es salaam. Ziwe za hadhi ya juu kabisa na hata za kati. Naomba...
0 Reactions
22 Replies
20K Views
Heshima kwenu! Naomba kujua wapi naweza kupata hard tonneau cover / bed cover ya Nissan Hardbody (Double Cab). Mwenye nao au anayejua wapi naweza kuupata tafadhali. Ninamaanisha mfuniko wa bodi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nauza printer 4 in one yani ina scan,copy,print na fax kwa shilingi laki 760000, imenumuliwa mwaka jana kwa milioni 3 , hii ni Canon MF i5980dw ni wireless unaweza print bila kuunganisha...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
In this scenerio you may request a video on a topic that you are interested on or you may contact a tutor for direct teaching. Note:It covers only the topics on advance physics and advance...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavojieleza, nina kuku 230 wa kienyeji wana umri wa miez 2 na wiki 2. Nipo gongo la mboto jeshin dar es salaam. Kuku hawa ukiwachukua utawatumia kama kuku wa nyama, kutaga mayai na...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Tunachora ramani za nyumba kwa gharama nafuu[emoji7][emoji7][100k] Tunahusika na ujenzi wa aina zote pia Tupo dar-makumbusho Whatsup/call +255624004650
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Je unahitaji kupata data zako muhimu?(Data Recovery) Ninarudisha data kutoka kwenye * Simu mbalimbali zilizoharibika/ambazo haziwaki/ ambazo zimefunga kwa password na umeisahau. (Zinazotumia...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba hizi 0714453589 0621711451
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Habari Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu. Kwa wadau wa JF especially waliopo Daresalaam nahitaji mkopo wa 250k then nirejeshe 350k after a month. Dhamana nitakayoweka nitamwambia...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Huyu mbuzi katoliki yuko sokoni kwa wale wote waishio mjini mpanda na viunga vyake. Bei yake ni 400,000/= Karibu tufanye biashara.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Lori na tela yake box body iko kwenye hali nzuri sana inauzwa bei poa kabisa vilevile zipo pia SCANIA 113 na DOLL tela zake zote box body mm nio menye hizo gari na sio dalali, kwa mawasiliano...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
  • Closed
VIMEUZWA Habari za jioni wakuu nauza vifaa vya saloon ya kike 1.draya moja 2.kioo kimoja kina frem ya alminium 3.troler yakuwekea rolers 4.kabati la alminium ukubwa ft 5 5.feni ya juu 6.viti...
0 Reactions
54 Replies
36K Views
Leo maeneo ya Bunju, Boko, Tegeta na Goba cement Dangote/Twiga Extra 1500-16000/= na Plus 16000-19000/= Nimenunua leo Dangote extra Goba uwanjani 16000/ Nasikia kiwanda cha Wazo hakifanyi kazi...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Habari wadau, nauliza mwenye kujua soko la Asali ya nyuki wakubwa kutoka singida wadau naomba tujuzane tafadhali.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom