Kiwanja kipo tegeta ununio maeneo ya kilimo kwanza, kina ukubwa wa 800sqm
Kina hati na kiko kwenye mitaa mizuri
Bei 60m
Bei ina maongezi kidogo
Mawasiliana na kuja kuona
0756060183
Kwa mahitaji ya picha,video, za mikutano,sherehe malimbali kama harusi ,send off na nyingine pamoja na passport size zenye ubora karibu MGONANZI PHOTO STUDIO.Wanapatikana ndani ya Garden ya...
habari za majukumu wana JF
siku chache zilizo pita nilisikia tangazo katika radio moja kuhisiana na UUZWAJI wa viwanja katika manispaa ya CHAMWINO (Dodoma).
sikulipata vizuri hasa katika swala...
Ninauza samsung yangu tab 4. 180,000 TZS....ina cracka kwenye kioo ila haina tatizo lingine...iko sawa kabisa. Nimeweka bei ya chini coz nahitaji hiyo pesa haraka.
Situmi mikoani..nipo wa azizi...
Naombeni kwa mwenye kujua eneo zuri la kilimo cha Mahindi,Ufuta,Mchele au Maharage kwa Mkoa wa Morogoro anijuze.Nina mtaji wa Millioni moja nataka kujaribu kilimo.Naomba mnifahamishe wilaya na...
Nina mashie ya kuzalisha miguu y sofa nahitaji mtu nimpea kwa makubaliano afanyie kazi , swala l kuiweka wap juu yake kama hajui namna ya kuitumia tamfundisha na soko namuunganishia nina watu...
Sifa za kiwanja
Nipo chanika mwisho zogo Ali
20*20m
Tofali 200 zipo
Kokoto kiasi
Vyumba vitatu, master moja
Public toilet
Dinning
Sitting
Niko
Mazungumzo yapo, piga simu tufikie muafaka
Simu...
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa yeyote mwenye hao vifaranga ambae anapatikana jiji la Arusha naomba anipatie mawasiliano ili tufanye biashara maana nimezunguka sehemu...
mayai ya kku wa kienyeji yanapatikana kwa bei nafuu npo mwanza-sengerema
@450 vlevle pumba laini za mpunga znaptikana kwa kiwango chchte uhitajicho
ma/liano 0712213314
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni self, ful AIC kila chumba
Kodi kwa mwezi shilingi 800,000/=
Maongezi zaidi na kuja kuona wasiliana nami kwa:-
0756060183
habari wakuu kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu
mafundi wa umeme wa majumbani wanapatikana pamoja na wa electric fence wapo pia
tupo dar ila hata mikoani tunafika pia kwa anaehitaji...
Nauza Mabasi yapo katika hali Nzuri Nissan Civilian Ndefu Engine 4 Cylinder Bei Inaanzia 14m Toyota DCM Gobole...Naanzia 25m imesimama haswa kama ujuavyo DCM haifi na inalipa Fadhira.... nakuachia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.