samahani kwa kuchelewa kujibu sikuwa online...
Ni receiver zinazotumia dish kupata channel za tv hususan FTA yani kama sasa hivi channels za ndani ambazo hazionekani kwenye decoder za azam na *times unaweza kuziona 1 kwa 1 kupitia FTA receivers hizi kulingana na uelekeo utakaofunga dish lako,pia hicho speed s1 unaweza kustream baadhi ya channels kwa kuchomeka tu line yako au modem
NB:ukiongeza 20,000/ ntakupatia na dish dogo(bila lnb)
vyote ni used
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.