PATA RECEIVER 4 KWA BEI 1

nzaghamba

JF-Expert Member
Apr 26, 2017
1,077
1,139
(1) SPEED HD S1(SUPPORT SIM CARD & MODEM FOR IPTV STREAMING)
(2) STRONG SRT 4669X
(3) HUMAX IR HD 1000
Bei kwa zote 180000/
 
Hebu kuwa detailed kidogo. Ni receiver za aina gani na za nn. Zipo compatible na vifaa gani, connection type zake
 
samahani kwa kuchelewa kujibu sikuwa online...
Ni receiver zinazotumia dish kupata channel za tv hususan FTA yani kama sasa hivi channels za ndani ambazo hazionekani kwenye decoder za azam na *times unaweza kuziona 1 kwa 1 kupitia FTA receivers hizi kulingana na uelekeo utakaofunga dish lako,pia hicho speed s1 unaweza kustream baadhi ya channels kwa kuchomeka tu line yako au modem
NB:ukiongeza 20,000/ ntakupatia na dish dogo(bila lnb)
vyote ni used
 
ungeweka specifications za decoda zako isije ikawa ni za kitambo sana maana chanel nyingi kwa sasa zilishahamia ktk mfumo wa power vu
 
Back
Top Bottom