Nipo kimara mwisho
Uko vinafika sana nshasafirisha mzigo wa vitu vya ndani hadi mbeya kwa bei ya elfu 60000 tu
bila bei huuzi utatangaza tu weka bei watu wasipoteze muda kukupigiaHabari za jioni wakuu nauza vifaa vya saloon ya kike
1.draya moja
2.kioo kimoja kina frem ya alminium
3.troler yakuwekea rolers
4.kabati la alminium ukubwa ft 5
5.feni ya juu
6.viti vinne
7.kabati yakupangia taulo na kuwekea madawa View attachment 799674
Kama biashara ipo, nipe gharama ya kodi ili nione kama naweza kuendeleza hiyo biashara hapohapo baada ya kuchukua hivyo vifaaBiashara ipo tatizo mda wakufatilia ndio hakuna