Kwa hili mimi nitaoa Rwanda

BigBaba

JF-Expert Member
Feb 7, 2017
1,909
9,038
80af8045a29f23c6301f884b65c2c6ad.jpg



wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.

Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

0356db117a5cf7eb68b37640672f8fb3.jpg


wasichana wengi wa kibongo wamekuwa wakinisumbua PM wengine ni wale famous humu ndani majina kapuni. ila msimamo wangu ndo huu mimi nitaoa Rwanda kwa mjomba kagame sijaona binti wa kibongo mwenye sifa na uzuri kama hawa wanyarwanda.
ce69cc372788f5a1c40da313c7f19cc7.jpg


kwahiyo wadada wa humu wala msijisumbue na PM yangu.
19a5e297f4afed73441d95cb57e8390d.jpg
 
Wanaume wamkoani bwana mna mambo ya ajabu sana na hii yote ni sababu ya kukosa exposure,yani hao ndo umeona ni mademu wakaali,hivi umetembea kweli,hao wa sampuli uloweka hapo pichani mtaani kwetu tu wako zaidi ya 20,na wapo wazuri zaidi ya hao na hyo ni mtaa mmoja tu.kwa taarifa yako afrika mademu wazuri wako TZ,sio rwanda
 
Wanaume wamkoani bwana mna mambo ya ajabu sana na hii yote ni sababu ya kukosa exposer,yani hao ndo umeona ni mademu wakaali,hivi umetembea kweli,hao wa sampuli uloweka hapo pichani mtaani kwetu tu wako zaidi ya 20,na wapo wazuri zaidi ya hao na hyo ni mtaa mmoja tu.kwa taarifa yako afrika mademu wazuri wako TZ,sio rwanda
picha zao mkuu.

Harafu huku tegeta nako mkoani mkuu
 
picha zao mkuu.

Harafu huku tegeta nako mkoani mkuu
Naposema wamkoani namaanisha wabush,sikuweki kundi moja na chalii ya ara,inaelekea huna krismas nyingi hapo tegeta,nakushauri ujichanganye maeneo ya starehe,mikusanyiko na katikati ya mji ufanya research vizuri,pita na huku uswahilini ndo utakuja gundua kuwa Tanzania mungu alitupa upendeleo.nenda nchi za watu huko uliza vizuri kuhusu mabinti wa kibongo,waulize wanaijeria watakuelezea.
 
Back
Top Bottom