Hata hivyo, ngoja nikueleze shida iko wapi. Asilimia kubwa ya mambo ninayosoma, yameandikwa kwa kiingereza. Nikikwambia nina kiu ya kusoma maandiko ya kiswahili yaliyoandikwa kwa ustadi wa kuzidi uwezo wangu kiuandishi katika lugha, utashangaa?
Halafu nikiwa nimechoka, napata tabu kujieleza kwa kiswahili. Huwa sipendezwi na kile nilichoandika. 🙁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.