katt williams
Member
- Nov 9, 2009
- 31
- 1
Wakuu mambo Vipi,
KATT hapa na wasalimu wote natehgemea ushirikiano mzuri na wana JF wote.
Thanks a lot.
KATT hapa na wasalimu wote natehgemea ushirikiano mzuri na wana JF wote.
Thanks a lot.
Thanks you very much!Ur welcome my dear,Feel at home.
Pamoja mkuu jina lako limenifurahisha.
Mpwa unaniangusha hebu ulizia lile swali la muhimu mods walilosahau kuliweka.
Thanks you very much!
Mpwa unaniangusha hebu ulizia lile swali la muhimu mods walilosahau kuliweka.
wakuu mambo vipi,
katt hapa na wasalimu wote natehgemea ushirikiano mzuri na wana jf wote.
Thanks a lot.
LOL ! I am dog . . . woof woof !are u he she? Are u pusycat or dog?
are u he she? Are u pusycat or dog?
Bwana Nguli, ushasikia he is a PIMP! Unauliza kama ni she or he! Ma man KATT that's an insult to a PIMP, straight pimping!
You can't ask a PIMP his status (he/she)
Heheheheee,shem bwana! asante. Nategemea wapwa wote mtakuwa Premium bila kuchelewa,u cant believe ni kitendo cha kuamua tu dakika tano ni nyingi.Ziondaughter
Jina lako limekuwa bold hongera sana naona ile azma ya wapwa wote kuwa premium by the end of desember umeifanyia kazi, mumeo yuko wapi?
Si umkaribishe basi jamani? ukarimu gani huu kwa wageni.
Wakuu mambo Vipi,
KATT hapa na wasalimu wote natehgemea ushirikiano mzuri na wana JF wote.
Thanks a lot.
binamu unaniabisha mbele ya mgeni si ungeniita chemba lol..haya ngoja nijirekebishe.. karibu katt najua tutaenjoy presence yako hapa mpwa xspin akirudi atakuonesha mazingira hapa pengine na formal invitation kwa wapwa itafuata.
Heheheheee,shem bwana! asante. Nategemea wapwa wote mtakuwa Premium bila kuchelewa,u cant believe ni kitendo cha kuamua tu dakika tano ni nyingi.
My love bwana nimemficha kidogo,naona akina Semenya wanamnyemelea na mimi nilimwambia kaunta apunguze ajiunge na wewe gym lakini alikuwa mbishi.Nimeona nimpe adhabu kidogo ya kumfungia ndani.
Hhhhhfffffffffffffffffffhhh....huh....
I sniff PokoPoko around here!
Check-out Katt...Usikubali kutumika(usiwe Pandikizi au Wakala)...Be your own...Be your Master...Be your age!..bUT STICK TO JF Rules and regulations!...Thats all as you pop inside here!...I mean it, and iam serious!
Shem kweli mapenzi unayajua kitambi hakilipi naona cha mumeo kinagusa ardhi shauri ya matusker.