Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Haloo great thinkers, Nafurahi kuungana nanyi kwenye hii forum ili tuendeleze majukumu ya kujenga jamii yetu pamoja. Naomba mnipokee.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dear All I am extremely very happy to join the club. I will appreciate getting tips on job opportunities.I have a very wide experience in relief and emergency operations. Professionally I am a...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wote? mimi ni mwanajamii mwenzenu niliyepata nafasi ya kujiunga nanyi leo. nafurahi kuwa hapa. nilipata kusikia habari kuhusu jukwaa hili la jamii hivyo nikaona si vibaya nikajiunga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi naingia saa hii lakini nipo. Salaaam sana kwa wote hapo hapo. Kipande hii nimeipendelea sana. C u around!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naitwa Irene kutoka Dar Tanzania. Nilifika kijijini siku mbili tatu zilizopita nikawa nashindwa kuona mahala pa kupost thread sasa nimepapata nakupeni hi wote! Naamini mmenikaribisha hapa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi ladies and gents, mambo yakoje and how are you for those who are not used to SWAHILI Language. Unajua, when you enter a place which for sure you know that you are new, you better give asalam...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Amani kwenu wana jf; niko na furaha kujiunga na forum the home of great thinkers. Natumai nami nitachangia ili nami niweze kuchangia kwenye kufanya watanzania kufikiri kwa uhuru zaidi. Tupo pamoja
0 Reactions
7 Replies
2K Views
I have been reading Jamii Forum the home of great thinkers for a while. I would like to post starting with my light touches of likes like quatations, jokes and meditations. So do read me when...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Am Yanky, 4rm Kenya,Jamii forums 's @home. a u my brother?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia kwenye profile mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa Me/Ke Male/Female ni mtizamo tu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello great thinkers, I am very happy to join you in this forum. Nipokeeeeeeni jamani. Gunda Gunda.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo vipi? Naomba mniakaribishe humu jamvini nimependezwa na michango yenu mingine inafurahisha. i love you all.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello members of JF lets love each other kama mikono,kwani mikono hupendana angalia unapoosha mikono kila mmoja humuosha mwenzie,basi nasi tuige mfano huo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi Guys Greetings to all of you at Jammiiforums. I love you guys with cool taste of E.A Music. I enyoy listening to some fantastic E.A. music, On Jammiiforums, here at Rhodes University. Keep...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
habari wadau, nimejiunga na JF kwani nilifurahishwa na mada mbalimbali zinazojadiliwa humu ndani kwani nineshanufaika na naamini nitaendelea kunufaika kwa mengi pamoja na kutoa hoja zangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam..... Hodi wana jamii.....Nimefurahi sana kujiunga na forum hi....Natumai nitafaidika na mengi kutoka kwa wanajamii wenzangu...... :D
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Asante JF na wadau wake wote kwa michango na mada nzito nzito zinazogusa jamii yetu ya Kitanzania. ndio maana nimevutiwa sana kujiunga na JF. nawapenda wote!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi All Jackie Joki hapa
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello great thinkers, I am very happy to join you in this forum. Nipokeeeeeeni jamani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani mi naomba kuingia katika forum hii kwa manufaa ambayo nayategemea,kujifunza,kufundisha kukosoa,kukosolewa,kujitangaza kibiashara na mengine mengi tu,,,,HODI!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom