Dear All
I am extremely very happy to join the club. I will appreciate getting tips on job opportunities.I have a very wide experience in relief and emergency operations. Professionally I am a...
Habari zenu wote? mimi ni mwanajamii mwenzenu niliyepata nafasi ya kujiunga nanyi leo. nafurahi kuwa hapa. nilipata kusikia habari kuhusu jukwaa hili la jamii hivyo nikaona si vibaya nikajiunga...
Naitwa Irene kutoka Dar Tanzania.
Nilifika kijijini siku mbili tatu zilizopita nikawa nashindwa kuona mahala pa kupost thread sasa nimepapata nakupeni hi wote!
Naamini mmenikaribisha hapa...
Hi ladies and gents, mambo yakoje and how are you for those who are not used to SWAHILI Language. Unajua, when you enter a place which for sure you know that you are new, you better give asalam...
Amani kwenu wana jf; niko na furaha kujiunga na forum the home of great thinkers. Natumai nami nitachangia ili nami niweze kuchangia kwenye kufanya watanzania kufikiri kwa uhuru zaidi. Tupo pamoja
I have been reading Jamii Forum the home of great thinkers for a while. I would like to post starting with my light touches of likes like quatations, jokes and meditations. So do read me when...
Ombi maalum kwako mheshimiwa Moderator weka option ya kuweka jinsia kwenye profile
mambo ya kuulizana wewe ni serengeti boys -Or twiga stars inaleta balaa
Me/Ke
Male/Female
ni mtizamo tu...
Hello members of JF lets love each other kama mikono,kwani mikono hupendana angalia unapoosha mikono kila mmoja humuosha mwenzie,basi nasi tuige mfano huo.
Hi Guys
Greetings to all of you at Jammiiforums. I love you guys with cool taste of E.A Music. I enyoy listening to some fantastic E.A. music, On Jammiiforums, here at Rhodes University. Keep...
habari wadau,
nimejiunga na JF kwani nilifurahishwa na mada mbalimbali zinazojadiliwa humu ndani kwani nineshanufaika na naamini nitaendelea kunufaika kwa mengi pamoja na kutoa hoja zangu...
Asante JF na wadau wake wote kwa michango na mada nzito nzito zinazogusa jamii yetu ya Kitanzania. ndio maana nimevutiwa sana kujiunga na JF. nawapenda wote!!
Jamani mi naomba kuingia katika forum hii kwa manufaa ambayo nayategemea,kujifunza,kufundisha kukosoa,kukosolewa,kujitangaza kibiashara na mengine mengi tu,,,,HODI!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.