Ninafuraha sana mimi pia kuwa mwanafamiliya ya WanaJAMII,naombeni mnipokee jamani.
Nimekuwa nikisoma makala na maoni mbalimbali kupitia safu hii,HONGERENI NA AHSANTENI SANA KWA WOTE mnaotoa...
I do hope it's all cool out there to each n every community member of this forum..i am a new member by the name of Joanna Lyimo studying my bachelor in pharmacy in India..it's great being here as...
What's a great page is this?
I hope you are all mentally, phyisically, economicallyand socially healthy!
It is my first time to post this intro to you, for short time that I click on this page I...
Asalaam Alekyum waungwana wote wa baraza hili maridhawa kabisa.Naomba kubisha hodi kwa mlango wa nyuma ili nijumuike nanyi katika kuperuzi na kudadisi mambo yanayojiri katika dunia yetu.
Naomba...
Habari zenu wana JF, Mimi naitwa Kilimi W. Shilemi, naomba kujiunga na house of Great thinkers,ili nami niweze kile kidogo nilichoficha kwenye ubongo wangu!
Nashukuru japo hamjanijibu
Wanajumuia JF,
Katika udadisi wa binafsi wakutaka kufahamu jinsi mtandao ulivyopanuka, nikajikuta nimetua katika site hii, na mimi nimefika. Nipokeeni kama waleeee!!!!!!!!
Hallo my people
A number of friends told me about this forum but i never took much interest, just a two days ago, another good friend really encouraged me to join. Here I am, Im happy to be here...
Habari Wana JamiiForums,
Mimi ni mgeni. Napiga hodi. Nimekuja kushirki "Where we dare talk openly". Napenda kutoa mchango wa Mawazo na kupata mawazo mapya.
Asanteni
Nafurahi tena kupata wasaa huu kuwasalimu waJF wote pamoja na kuwashukuru kwa michango yao wakati wa sakata lile la ukombozi pale Peacock Hotel.Kwa sasa hivi niko nchini Uturuki...
HIIIIIIIIIIIIIIIII
Am new to the blog so am inviting u to join me and share ideas.
AM a medical doctor lets share the health as well as political news
Tchao
Hi!
Tupo (tuko) pamoja sasa! Hivi leo ni tarehe 09-09-09 ndo maana usrname yangu ni 'tripo9'. Tarehe km hii zimebaki tatu tu in the history of mankind, yaan 10-10-10(mwakani), 11-11-11...
Hello wana jamvi, kwanza nawasalimu sana, amani na iwe juu yenu. Mimi si mgeni sana hapa jamvini nilikuwepo ila na nilijulikna kama " kitoto", sasa kutokana na sababu zilizo nje kabisa ya uwezo...
MFANYAKAZI(NURSE MIDWIFE ANAYESTAAFU AKIWA NA MSHAHARA ALIOANZIA KAZI) Hivi unaweza kutaja nini kiashirio cha uwepo wa TALGWU katika halmashauri fulani? nikimaanisha uwepo wa chochote kwa kuona au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.