Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
My name is pandisho,tafadhali naombeni ukaribisho wenu,nimeamua kujiunga baada ya kuona mawazo ya vichwa vilivyomo humu.Bila shaka sijachelewa sana kama ambao hawajajiunga
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hi everyone in here!! natumaini mpo wazima.....nimekuwa nikisoma sana jf ila leo nimeamua kujiunga rasmi. happy friday. x
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hellio! to wanajamii wote,nawapongezeni kwanza kwa safu hii nzuri yenye kumfanya mtu akuwe updated na mambo yote bongo na hata mbele mbele. Na pia poleni kwa kazi nzito yakutafuta habari hz na pia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hi
am a new member....hiiiii to all
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama ni Maisha yako, marafiki wapo! maisha yanakwisha! marafiki wanakwisha! Kwanini uwahitaji watu wengine wawe marafiki!endapo una maisha yako na marafiki wapo... Nipo sana waungwana, ila nipo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimeifurahia JF, nimewasoma sana naingia rasmi kusaidia nchi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtaalam nimeingia. Nawasalimu wote wanajamii. Nasikitika nimechelewa sana kujiunga japo naingia katika mtandao huu mara nyingi sana! Mtaniona bila shaka.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hodi hodi mashosti wenzangu. Aah sibagui jamani mambo vp wakaka. Najiunga rasmi... Mnipokee...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1 2 3 ok!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana jf, nimekua nikifaidi ya baraza hili nikia kwa nje muda mrefu, sasa nimeamua niingie ndani kwani utamu wa ngoma si kuangalia wengine bali kuingia nakucheza. MASHAKABWA
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana-Jamii. Tunafuraha sana kujiunga katika forum hii na tunategemea mengi mazuri yatajitokeza. Pamoja sana! Kikosi cha Bongo5.com
0 Reactions
11 Replies
1K Views
mambo yameiva, tujadili matatizo ya usafiri wa jiji letu.:mad2:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi dears! Naomba mnikaribishe nina mengi ya kushare na nyinyi wapendwa
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hodi wana jamii. Ni mimi mpenda nchi ndani ya nyumba, tafadhali tuwe pamoja kusongesha gurudumu la maendeleo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WanaJF wote nawashukuru kwa kuwa great thinkers na nawajulisha kuwa nimeamua kujiunga ili tuweze kubadilishana mawazo na kuweza kuikomboa nchi hii. Hongereni sana,na tuko pamoja
0 Reactions
12 Replies
1K Views
tuko pamoja jamani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda kuwasalimia wote humu ndani, nafikiri nitakaribishwa vizuri tu. Pia vilevile sijachelewa kuingia.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamii ninafuraha kujiunga nanyi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salamu zenu wote wa jamvini, napenda kutoa utambulisho kuwa mimi ni Wa mjengoni kule kule zinapozaliwa sheria.Nimekuwa natembelea humu kwa muda mrefu bila kuwa member sasa nadhani nitakuwa karibu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wANA jf. Nimekuwa sipo ktk forum yetu hii kwa kipindi cha karibia miaka miwili kwa sababu mbalimbali. Nafurahi kurejea tena na kujiunga nanyi. Asanteni sana.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom