Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimeipenda sana forum hii Inaelimisha kwenye nyanja karibu zote Tafadhali naomba kuwemo kwenye boti hii!! Salamu!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mwanachama mpya, Nategemea kujifunza mengi, na pengine kuwa na michango itakayosaidia wengine!!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
hai hai wanajamvi naombeni walau nafasi kwenye hili jamvi lilosheheni fikra kadha wa kadha, mi wenu wa mamndenii mzee wa kitochi na kisusio, 'kiru mmbe'
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanachama mpya,naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Congratulation for continuing enjoying the services provided by jamii forum. Wote nawapa big up.
0 Reactions
1 Replies
987 Views
I salute you all
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi
Nawapenda wote, 'Ombeni nanyi mtapewa, Bisheni nanyi mtafunguliwa, Tafuteni nanyi........' BIBLIA Mimi nabisha, Nifungulieni geti hafu mlango wa mbele, hafu, hafu, hafu...... Sabra Esq.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natumaini mpo shwari kabisa. Nipokeeni kama mmoja wenu,katika kubadilishana mawazo juu ya kinachoendelea hapa bongo na ulimwengu wote. Michango kwa ujumla ni mizuri,na ndio nimevutika kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A.al3kum habari zenu wana jf.nashkuru kuwepo hapa kwa kujitambusha kwenu, pia natoa shukrani zangu kwa wanachama wote wa jf.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naomba kukaribishwa!:confused2:
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wazee habarini za mchana Ukimuona kuku anakamba ujue mgeni mkalimuni sasa ndio mimi naomba ushirikiano wenu:mad2:
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini za ujenzi wa Taifa wanajukwaa. Nimefika mtaalamu wa masoko ya ndani,Na ni mwanasiasa pia Napenda kuchuku nafasi hii muafaka kabisa kujiunga nanyi katika kuleta MAISHA MABOVU NA DHIKI...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hello, a'alaykm, hali zenu, my name is Kamal Fareed, and i have recently joined jamii-forums. I'm a Tanzanian, n I currently live in Dar. I'm a student at ISM (International School Moshi)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman waungwana wa humu jamvin nawasalimu kwa pamoja mabibi na mabwana.Salamu aleikhum wote.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbayuwayu nalenga jiwe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hamjambo jamani
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Waungwana mpo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani na mie nimo humu mjadalani ati.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekua maranyingi natembelea blog hii imenivutia namimi nimeona ni vema nikajiunga nipatekutoa mchango wangu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hodi hodi naingia, natumai kufaidika na mengi humu ndani.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom