M Mukulu12 New Member Nov 6, 2007 3 0 May 12, 2010 #1 Hodi wana jamii. Ni mimi mpenda nchi ndani ya nyumba, tafadhali tuwe pamoja kusongesha gurudumu la maendeleo
Hodi wana jamii. Ni mimi mpenda nchi ndani ya nyumba, tafadhali tuwe pamoja kusongesha gurudumu la maendeleo
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 May 12, 2010 #2 Ohooo taratibu wengine siye waume na wake za watu! Any way karibu ikiwa kushikana huko kunaishia mikononi tu
Ohooo taratibu wengine siye waume na wake za watu! Any way karibu ikiwa kushikana huko kunaishia mikononi tu
A AmaniGK JF-Expert Member Jan 10, 2008 1,150 369 May 12, 2010 #3 Mkuu Pakajimmy hajamuona nini huyu?