Karibu ndugu!
Ila humu mjadalani tuna sheria naomba usiwe mvivu sana wa kuperuzi hapa na pale.
Inshort hata sisi tulikarbishwa hivyo si vibaya tukafanya hivyo kwako:
Epuka Kashfa na maneno ya kuweza kumdhalilisha mtu.
Post thread katika sehemu husika ili kuondoa mkanganyo kwa wajumbe wengine.
Mengine wajumbe wapo watakusaidia atiii, Kikubwa karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.