Hi!

Kijallo

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
409
61
Niaje wakuu wangu,wa2 wenye vpaji na uwezo wa kufikilia,nipokeeni!nirekebisheni nikikosea,
 
Niaje wakuu wangu,wa2 wenye vpaji na uwezo wa kufikilia,nipokeeni!nirekebisheni nikikosea,
Karibu Kijallo,na kwa kuwa humu hakuna malaika hivyo hata wewe usisite kumrekebisha yeyote unayeona kakosea.
Tushirikiane katika kuijenga nchi yetu tukufu Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom