Tanzania kunaWahandisi wahandisi wachache sana. Hawazidi elfu 8. Kama tuki-assume Watanzania wapo mil 46 utaona kuwa katika kila watanzania 5875 kuna Mhandisi mmoja! Ukitilia maanani kuwa kwa sasa kuna miradi mingi ya kihandisi ni dhahiri utaona hilo pengo na ndio chanzo cha hao wahandisi unaowaona kutoka nje! Nchi kama Japani uwiano ni mhandisi mmoja kwa Wajapani kama 200. Na tofauti ya maendeleo yetu pia inaanzia hapo.
Hi naomba niulize ,
je wasomi wa hapa tanzania wanatumia elimu yao ipasavyo katika kuleta maendeleo ya nchi yetu?kama wanatumia ni kwanini katika secta nyingine kama vile wahandisi wengi wao ni kutoka nje?