Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Wasalaam magreat thinkers! Naomba mnikaribishe kwa mikono yote miwili na kwa moyo safi ili tuchangie mawazo katika jukwaa hili la siasa. Naomba nijue miiko ya humu ili nisije nikaivunja na kuadhibiwa maana najua kila sehemu kuna kanuni na taratibu!
Asanteni sana kwa moyo wenu wa kuijenga nchi yetu.
Asanteni sana kwa moyo wenu wa kuijenga nchi yetu.