Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 448
napenda kuwasalimia ndugu zangu ,kwa muda mrefu nimekuwa nikisoma kwenye mtandao bila ya kuwa mwanachama ,nimevutiwa sana ni michango ya wanachama wa jamii forum ,imenisaidia nifahamu vitu vingi sana na imenifanya niwe mchunguzi wa mambo na kuwa makini katika maisha yangu ya kila siku .nawashukuruni sana ndugu zangu,mwana mnyonge nimejiunga nanyi kuelimisha taifa hili na dunia kwa ujumla ,