Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wana JF naingia kama ifuatavyo ................. Je, nakaribishwa!!!!!!!!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa wa jf naomba kuingia kama ifuatavyo ................ Je, nakaribishwa!!!!!!!!
0 Reactions
2 Replies
881 Views
hello wana JF poleni na shughulu za ujenzi wa taifa , pamoja na majukumu . naombeeni mnipokee kama mwanachama mwenzenu, mpokee pia mawazo, maoni na ushauri nitakapokuwa nachangia asanteni na...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
glad to meet u guys...nashukuru kwa kuniingiza kundini..tutakuwa pamoja forever,thanx
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hamjambo wana JF. Nimejiunga rasmi na Jamii forum baada ya kuipitia na kuona uzuri wake. Naomba niwe mmoja wenu katika hii forum. Asanteni TheJoy
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani poleni kwa majukumu mimi ni mgeni naomba kuwa pamoja nanyi asanteni sana!naomba kuwasilisha
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani naomba kuwa nanyi asanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello jf members. i'm new member.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Thanks kwa kupata nafasi kama hii!jamani tanzania kama sweden inawekana!ili mradi tuamue kubadilike kuanzia mtu mmoja mmoja na jamii nzima kwa ujumla!!si huu upuuzi wa sasa hivi!watu wanatumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
If i had ever been so over irritated,is when I'm ignored or underestimated in whatever I'm about to do,as i believe that i can enhance an unlimited power of human spirit which i have in me and...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani mawasiliano 'networking' ni jambo muhimu kwa dunia tunayoishi. Nawapenda wanajamii na naomba ushirikiano. Enjoy!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani habari zenu,....za hapa! Mgeni mie jamani naomba mnipokee!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hi Mimi ni Tour operector niko Arusha nafanya safari za mbuga zote za wanyama pamoja nakupanda mlima.karibuni sana email.renson.maro@yahoo.com
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hi, jaman karibishwa JF kama mmoja wenu?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Heshima mbele wana jf, naomba mnipokee jamvini nami nipate elimika
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimekuja kutumia njia hii safi kuwa expose wezi wote tz.
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Helo nguys&ngirls!2po pamoja sana katika kuitetea our lovely Tanzania!2po pamoja sana katika kumake sure miili yetu inaish as long years as possible!meeeeeeen ULEVI NOMA,UNALOSTISHA!!!GO ASK MY...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hodihodi jamani nikaribisheni kwa upendo nawapenda nyote mko juu kama mpapai vile kama sio twin tower. im she
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisoma mara kwa mara posts mbalimbali zinazoletwa humu na nimeshawishika kujiunga kuwa 'member' ili nami niweze kushiriki kwa michango yangu. Naomba mnipokee
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom