Hamjambo wana jamii
Baada ya kusoma mada mbalimbali zinazojadiliwa katika jamiiforums kwa muda mrefu nami nimeona nijiunge ili niweze kuchangia mijadala moto moto inayoibuliwa na kujadiliwa...
Hodi jukwaani,heshima kwa wakubwa na wadogo,kwa siku za karibuni nimekuwa nikitumia muda mwingi ktk jf kwa kweli nimejifunza mengi kupita nilivyo tarajia,na kizuri zaidi nimeona yale ambayo ingawa...
Hello Wakubwa,
Nimekuwa great admirer wa JF kwa vile discussions zinazopatikana hapa zina base kwenye facts na sio ushabiki kama vijiweni au mjengoni (sometimes). Nimefanikiwa kujiunga na pia...
Waungwana hamjambo? Mie nipo humu muda mrefu(nikiwa nimeshasajiliwa), ila nilitumia utaratibu wa futari, kwamba ukikuta wenzio wanafuturu, nawe keti ufuturu, sikupiga hodi humu. Kama ni kosa...
Kwanza napenda kuwapeni pole wote mlioathirika kwa namna moja au nyingine na mabomu ya Gongo la mboto.Poleni.
Pia napenda kujitambulisha kwenu mie mgeni,nimekuwa nikiwasoma kwa muda mrefu ila...
naomba mnikaribishe na ndani ya begi nimeleta zawadi nzuri kwa ajili ya asprin na nansa wengine tukae jamvini tuzungumze ila lazima leo mniambia kitinda mimba wangu 4by4 yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.