Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi to all,am a new member who has been visiting and reading many posts here for quite a while now.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimefurahi kujiunga nanyi naomba ushirikiano wenu luv ya all
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ujamu umenizidia naomba niingie nicheze !
0 Reactions
3 Replies
515 Views
Hamjambo wana jamii Baada ya kusoma mada mbalimbali zinazojadiliwa katika jamiiforums kwa muda mrefu nami nimeona nijiunge ili niweze kuchangia mijadala moto moto inayoibuliwa na kujadiliwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hodi wanaJF
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hodi jukwaani,heshima kwa wakubwa na wadogo,kwa siku za karibuni nimekuwa nikitumia muda mwingi ktk jf kwa kweli nimejifunza mengi kupita nilivyo tarajia,na kizuri zaidi nimeona yale ambayo ingawa...
0 Reactions
2 Replies
678 Views
Hello Wakubwa, Nimekuwa great admirer wa JF kwa vile discussions zinazopatikana hapa zina base kwenye facts na sio ushabiki kama vijiweni au mjengoni (sometimes). Nimefanikiwa kujiunga na pia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Waungwana hamjambo? Mie nipo humu muda mrefu(nikiwa nimeshasajiliwa), ila nilitumia utaratibu wa futari, kwamba ukikuta wenzio wanafuturu, nawe keti ufuturu, sikupiga hodi humu. Kama ni kosa...
0 Reactions
7 Replies
940 Views
Kwanza napenda kuwapeni pole wote mlioathirika kwa namna moja au nyingine na mabomu ya Gongo la mboto.Poleni. Pia napenda kujitambulisha kwenu mie mgeni,nimekuwa nikiwasoma kwa muda mrefu ila...
0 Reactions
6 Replies
874 Views
Natumaini wote mmesalimika na mtikisiko wa mabomu uliojiri kwa usiku wa jana,poleni sana kwa wale ndugu zetu walioathirika na kupotelewa na jamaa zao
0 Reactions
6 Replies
776 Views
Naomba mnipokee nami nipate raha za Jf....waungwanaaa
0 Reactions
6 Replies
835 Views
naombeni mnikaribishe.........
0 Reactions
16 Replies
1K Views
naomba mnikaribishe na ndani ya begi nimeleta zawadi nzuri kwa ajili ya asprin na nansa wengine tukae jamvini tuzungumze ila lazima leo mniambia kitinda mimba wangu 4by4 yupo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nafurahishwa sana na hii forum, nami napenda kujiunga tujadiliane issues mbalimbali
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu na nafurahishwa sana na yanayoendelea humu ,leo nimeona umuhimu wa kuingia ndani naomba mnipokee .....
0 Reactions
5 Replies
842 Views
jamii forum ipo kwenye (fomu),naomba mnikaribishe tucheze pamoja
0 Reactions
5 Replies
865 Views
jamii forum ipo kwenye (fomu),naomba mnikaribishe tucheze pamoja
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Hi
i am joining today. Let's share info and ideas.
0 Reactions
3 Replies
839 Views
Nimejiunga rasmi na JF naomba ushirikiano wenu wa dhati!!!
0 Reactions
5 Replies
872 Views
Ndugu wanajamiiforums, mimi ni mwenzenu mwenye kamba mguuni, nikaribisheni tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
851 Views
Back
Top Bottom