Goede Manu gemeenschappen
Wanajv niliwamiss saana najua nyote wazima
Mimi nilikuwa jera kwa miezi nikamiss jf
Ik was in de gevangenis, nu heb ik breng het
Habari za hapa jamani, Mi mwanachama mpya hapa JF, naombeni ushirikiano wenu nyinyi kama Wenyeji wangu. Naamini tutashirikiana vizuri hapa JF.
Ahsanteni sana.
I am happy to join this forum, and i hope to cooperate with all members in sharing different topics for the betterment of our nation, God bless you all!
Nimeamua kujipenyeza ndani ya bahari ya jamii hii iliyo staarabika na kutoa michango inayotupanua kifikra na kutufanyatufikiri kwa mapana mambo mbalimbali.hongereni wanajamvi.
Hi all wakongwe na wasio wakongwe wa JF,
Nimekuwa nikipitia hii forum kwa muda mrefu sasa. Mwanzoni sikujua ni ya nini hasa, lakin nimekuja kugundua kuwa ni most useful kwani ni njia mojawapo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.