Miss k wa JF!

1. SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS

Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.

8. Kila mwanachama yupo huru kutoa maoni yake mradi yaliyotajwa hapo juu yanazingatiwa.

Hatua za kinidhamu zinaweza kuchukuliwa dhidi ya yeyote yule atakayeshindwa kuzingatia maelezo hayo hapo juu.

Other Rules to be noted:

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:

Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

3 - Spam:
Purposely spamming a message board with senseless, vacuous, or empty messages to gain a higher post count, or just to annoy others is HIGHLY frowned upon! Commercial spamming and advertising are just as unwelcome unless it is done in the special designed area. Promoting your site is only allowed with permission of the site owners. Bumping old threads is allowed in the request forums, but needless bumps in other forums will be classed as spam.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.

5 - Piracy, and Warez:
We do not mind discussions about piracy or warez, as long as they are just that...discussions. Linking or giving information about any site that distributes illegal software, or warez, seeking help to circumvent any copyright laws, or encouraging software or media piracy grounds for an immediate ban.

6 - Impersonating Other Users / Accessing Another User Account:
You may not impersonate another board member or create an account specifically for the purpose of provoking other users. Also, accessing or using someone else's account or attempting to access another poster's account is strictly prohibited. You will be banned.

7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all.

8 - Circumventing a Ban:
If you log onto the forums and receive a message that you have been banned, please submit an unban request and wait for a staff member to get in touch with you. You may NOT re register under a new name if the software lets you. But, if you try to sign up again and we caught you, then it will become a permanent IP Ban. We do NOT send out notices that you have been banned.

9 - Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 50 year olds. Nudity and porn is prohibited for obvious reasons.

10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 100x100 pixels or less. No adult, drug related or racist content please.

11. Do not post any copyrighted material unless the copyright is owned by you, except for brief credited excerpts to illustrate a point;


12. You will not post what is commonly called spam, which includes but is not limited to such things as advertisements, chain letters, pyramid schemes, solicitations, or promoting a particular cause or organization. Exceptions may be granted for worthy (in our sole opinion) causes if you obtain prior permission from us;

13. We reserve the right to ban any user temporarily or permanently, refuse posting from screen names we find offensive, edit or delete any post, limit postings on any topic, and shut down any topic altogether, for any reason, or no reason, without explanation or warning.

14. You are solely responsible for the content of your messages. We cannot verify content and thus accept no responsibility for it, nor do we vouch for the accuracy, completeness, or utility, of any message or the qualifications of any user.

15. Do not post private messages at JamiiForums or elsewhere without the express permission of the sender of the Private Message.

16. Do not engage in internet stalking. This includes, but is not limited to, following a JamiiForums member from site to site, or from thread to thread within this site; taking posts from JamiiForums in order to attack a poster at another site; and attempting to defame or discredit JamiiForums members on other sites for views they may have expressed at JamiiForums.

17 - Questionable Content:
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.
 
JamiiForums: Msimamo wetu na maelezo kidogo

Wakuu,

Kadiri siku zinavyokwenda ndivyo idadi ya watumiaji na watembeleaji wa mtandao huu wanavyoongezeka. Tungependa kutoa ufafanuzi juu ya mambo kadhaa ambayo watumiaji wa mtandao huu wanatakiwa kufahamu:

  1. JamiiForums ni mtandao ambapo mtu yeyote anayejisajili anaweza kuanzisha hoja (user generated content) hivyo maoni yanayotolewa na wadau tofauti ni misimamo yao na hayawakilishi maoni ya waendeshaji na waratibu wa mtandao huu kwa namna yoyote ile. Waendeshaji wa mtandao huu wapo kusimamia sheria zilizowekwa pamoja na kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa.
  2. Waendeshaji wa mtandao huu hawataweza kukuzuia kama mtumiaji kutumia mtandao huu bila kuvunja sheria zilizowekwa au kama hujakosea kulingana na maelezo haya.
Tunatoa tahadhari kwa wale wenye kudhania JamiiForums ipo kisiasa na kila kitu ni siasa tu kuwa jukwaa hili lipo na maeneo tofauti, kama huziwezi siasa basi achana nazo na ingia eneo unaloona unastahili.

Hatutowavumilia wale wanaotaka kuharibu mijadala makusudi ili aidha kuwakatisha tamaa washiriki au kuligawa taifa kwa udini, ukabila au rangi.

Kwa pamoja tunaweza kushirikiana kuhakikisha JamiiForums inabaki kuwa sehemu nzuri na ya kushiriki mijadala anuai bila kukerana au kuchafuana.

Kama umejisajili, unaweza kutufahamisha hoja yoyote unayoona inapelekea kuvurugika kwa mjadala (si kuijibu wala kuinukuu) kwa kubonyeza alama hii chini ya hoja husika:

report.png

 
How to use JamiiForums effectively

***This' useful for those who are new on JamiiForums.com discussion boards***

JamiiForums.com is a collection of discussion boards free for you to express your views openly. It's created to serve for East and Central Africa Region & the world in General.

Talk it out! Fear nothing, ask and be specific. Respect others in these forums.

REGISTRATION:

Why should I register?

In order to fully utilize the abilities of this forum, we will require that you register as a member. Registration is free, and allows you to do the following:

* Post new threads
* Reply to other peoples' threads
* Edit your posts
* Receive email notification of replies to posts and threads you specify
* Send private messages to other members
* Enter events in the forum calendar
* Access some forums that the Unregistered user can't access
* Download attachments and documents (which are all safe) uploaded by other registered members
* Set up a 'buddy-list' to quickly see which of your friends are currently online

To register, you will need to specify a username and password, and a valid email address. Entering your email address will not leave you open to 'spam', as you can choose to hide your email address, and messages sent to you via email do not reveal your address to the sender in any case. (To verify this, you can try sending an email message to another user.) We may wish to contact you by email whenever there're any system upgrades, so ensure that the email address you provide is valid and working.

If you are under the age of 13, we may require that a parent or guardian provides consent before allowing you to complete the registration process. More information about this is available during the registration process.

Does this forum use cookies?

The use of cookies on this forum is optional, but may enhance your experience of the site. Cookies are used to enable functions such as showing whether or not a thread or forum you are viewing has new posts since your last visit, or to automatically log you back in when you return to the site after being away for a while. When you register, you will be given the option to 'Automatically login when you return to the site'. This will store your username and password in a cookie, stored on your computer. If you are using a shared computer, such as in a library, school or internet cafe, or if you have reason to not trust any other users that might use this computer, we do not recommend that you enable this. This forum also gives you the option to use a cookie to track your current session, ensuring that you remain logged-on while browsing the site. If you choose not to store this information in a cookie, the session data will be sent through each link you click. Choosing not to use a cookie may cause problems if your computer's connection to the Internet uses a proxy-server and you share links with other users behind the same proxy. If in doubt, we recommend that you select 'yes' to enable the cookie. After you have registered, you may alter your cookie options at any time by changing the settings on this page.

How do I clear my cookies?

You may clear all your cookies by clicking here. If you return to the main index page via the link provided and you are still logged in, you may have to remove your cookies manually.

In Internet Explorer 6 on Windows XP:

1. Click the "Tools" menu.
2. Select "Internet Options" from the menu that appears.
3. Click "Delete Cookies" on the dialog box that appears. It will be in the center area of the "General" tab.

In Mozilla Firefox:

1. Click the "Tools" menu.
2. Select "Options" from the menu that appears.
3. From the dialog box, select "Privacy" on the left.
4. Find "Cookies" on the main pane, and click the "Clear" button adjacent to it.

Your cookies should now be removed. You may want to restart the computer and revisit the forums to be sure.

How can I change the information in my profile?

It is your responsibility to keep the information in your profile up-to-date. You should especially ensure that your email address is kept current. You can alter any of the fields in your profile, except your username. Once you have registered your username, it becomes yours for life. In extreme circumstances, you may request that the administrator change your username, but he or she will require a very good reason to do so.

Edit your profile here.

SIGNATURES:

What is the signature for?

After you have registered, you may set your signature. This is a piece of text that you would like to be inserted at the end of all your posts, a little like having headed note paper.

We enabled signatures so that you will have the option to include your signature on any posts you make. If you have specified a signature, then the forum will automatically append your signature to any messages you post. You can disable signatures on a per-post basis by un-ticking the 'Show Signature' checkbox when you compose your message.

You may turn the signature on and off on posts you have already made by editing the post and altering the state of the 'Show Signature' option.

You can set your signature by editing your profile.

LOST PASSWORDS:

I lost my password, what can I do?

If you forget your password, please send a RESET request to support@jamiiforums.com and we will help you as soon as possible.

AVATAR:

How do I get a picture under my username?

Avatars are small graphical images that you may choose in your profile. They are displayed by your username on all posts that you make. You can select the image that best describes yourself from your profile options.

These small images are called Avatars. They are displayed below your username on all posts that you make. There are two kinds of avatars: those provided by JamboForums.com and those that you upload yourself.

We provided a set of avatars and are enabled, you may select an avatar that best describes your personality.

We also have enabled custom avatars, which allows you to upload an avatar image from your computer.

SEARCHING:

Can I search the forum?

You can search for posts based on username, word(s) in the post or just in the subject, by date, and only in particular forums.

To access the search feature, click on the "search" link at the top of most pages.

You can search any forum that you have permission to search - you will not be allowed to search through private forums unless we give you the necessary security rights to do so.

Can I send email to other members?

Yes! To send an email to another member, you can either locate the member you want to contact on the member list, or click the
report-abuse.jpg
button on any post made by that member.

This will usually open a page that contains a form where you can enter your message. When you have finished typing your message, press the [send email] button and your message will be sent instantly. Note that for privacy reasons, the email address of the recipient is not revealed to you during this process.

Note that if you can not find an email button or link for a member, it means that the member in question has specified that they do not wish to receive email from other members of the forum.

We have enabled the Private Messaging system, registered members may send each other private messages.

Sending Private Messages

Private messages work a little like email, but are limited to registered members of this forum. You may be able to include vB Code, smilies and images in private messages that you send.

You may send a private message to a member of this forum by clicking the 'Send A Private Message' link in the private messaging section of your user control panel, or by clicking the button in a member's posts.

When you send a message, you have the option to save a copy of the message in your Sent Items folder.

Private Message Folders

By default, you will have two folders in your private message area. These are the Inbox and the Sent Items folders.

The Inbox folder contains any new messages you receive, and allows you to view all the messages you have received, along with the name of the person who sent the message to you, and the date and time the message was sent.

The Sent Items folder contains a copy of any messages that you have sent, where you have specified that you wish to keep a copy of the message for future reference.

You may create additional folders for your messages by clicking the 'Edit Folders' link.

Each folder has a set of message controls which allow you to select messages, then either move them to one of your custom folders, or delete them completely. You may also have a button which allows you to forward multiple messages from a folder to another member of the forum.

You will need to periodically delete old messages, as the administrator has probably set a limit to the number of private messages you can have in your folders. If you exceed the number of messages specified by the administrator, you will not be able to send or receive new messages until you delete some old messages.

Whenever you read a message, you will have the option to reply to the message, or forward that message to another member of the forum. You may also have the ability to forward that message to multiple members of your buddy list.

Message Tracking

When you send a new private message, you may have the option to request a read-receipt for that message. This will allow you to check whether or not a message has been read by its recipient by viewing the Private Message Tracking page.

This page is divided into two sections: unread messages and read messages.

The unread messages section shows all messages that you have sent with a read-receipt request, that have not yet been read by their recipient.

The read messages section shows all messages you have sent with a receipt request that have been read and acknowledged by their recipient. The time that the message was read is also shown.

You may choose to end the tracking on any message you choose by selecting the message and clicking the [end tracking] button.

When you receive a message with a read-receipt request, you may have the option to read the message while denying the read-receipt request. To do this, simply click the 'deny receipt' link rather than the title of the message, if it appears.

STARTING A NEW TOPIC:

How do I start a new topic?

Topics in these forums are called "Threads".

In order to start a new topic you need to visit one of the following forums/categories:

whats-on-jf.jpg


Then hit the + Post New Topic
post-thread.jpg
icon on your left (on top) and have your new topic. Please avoid long headings, repetition of issues. Your topic might be merged into the existing topic if duplication is made.

 
JF: Majina bandia na uhuru wa maoni

Motto ya Jamii forums " Where we Dare Talk Openly" inakwenda sambamba na Katiba yetu ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya 1977, ibara ya 18 inayotoa haki ya uhuru wa maoni, inasema:
"18.-
(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wamawasiliano yake kutoingiliwa kati.

(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii".
Kama tupo hapa kutoa maoni yetu bila woga wowote, kwanini tunatumia majina yasiyo maalumu, woga wa nini? Sio wote wanatumia majina bandia hapa JF tu, lakini wengine wanatumia picha za watu wengine kama picha zao ambayo kisheria inaweza kuzua mashauri ya defamation.

Ni hoja yangu kwamba kama unatoa maoni kwa kujificha, hata kama maoni yako ni ya msingi, kama kukemea rushwa, kwa mfano, wewe pia ni complicit kwa sababu unaficha utambulishi wako.​
 
Mkuu wangu Miss K!

Ukweli ni kuwa siku za nyuma tulijaribu sana kuwafahamisha members kuwa JF haiendeshwi kwa fedha za watu flani bali kwa kujitolea.

Tukatanabaisha wazi kuwa wanachama na wote wenye mapenzi mema inabidi watambue kuwa tuna mzigo mkubwa wa kubeba kwa niaba yao.

Nyakati hizo tulikuwa na wanachama waliojisajili karibia 2,000 hivi na tukasema endapo kila mwanachama (aliyejisajili) angechangia Tshs 10,000/= basi ilimaanisha kuwa tungepata Tshs 20,000,000/= ambayo kwa wakati huo ingetosheleza kuiendesha JF kwa karibia mwaka mzima bila wasiwasi.

Maisha yakabadilika, Server tuliyokuwa nayo ilikuwa ndogo sana kumbe kulinganisha na uhitaji wa watanzania, balaa lilionekana wazi Mwezi Februari 2008 pale Mhe. Lowassa alipokuwa akijieleza Bungeni... Server ikachemsha kubeba mzigo mkubwa.

Kwa wakati huo tukaona ni vema tukaangalia namna ya kuweza kuwashirikisha wanachama juu ya ugumu tunaokumbana nao... Tukalazimika kununua server kubwa zaidi mbili na zenye back up za kila baada ya masaa 6 kwa nyakati tofauti.

Hilo likasaidia japo kwa gharama ambazo zilitoka mfukoni mwa mwanachama mmoja! Ndiyo, kulipia server hizo kila mwezi ni $940 na ameendelea kufanya hivyo kwa imani kuwa kuna siku mambo yataenda sawa.

JF inahitaji SANA michango ya watanzania na wote wenye mapenzi mema.

Kuna wanachama ambao humu mnawaona wana usernames ambazo ni bolded, hawa ni Premium Members. Hawa walau wamechangia kwa kiwango cha kuanzia $5 na wawili walau $300 tangu JF inaanzishwa mwaka 2006 (ikijulikana kama JamboForums).

Tangu JF inaanza (2006) mpaka sasa Januari 9 2009, tumekwishapokea jumla ya US$ 1,450/= toka kwa wanachama waliojisajili na wasiojisajili.

Wengi wa waliohitaji kuchangia walikuwa wanatuma barua pepe nasi tunawapa maelekezo juu ya namna ya kutufikishia michango hiyo.

Ukweli ni kwamba kwa wasio wanachama wa JF wakiwa wanasoma hapa wanaona matangazo mengi ya Google kuliko wanachama waliojisajili.

Dhamira yetu si kuweka matangazo haya ya Google kwani hayaingizi kwa kiwango kikubwa hivyo, watu hawabonyezi matangazo hayo na hivyo income yake inategemea pale mtu atakapokosea akabonyeza tangazo ndipo tupate vijisenti kidogo kwa clicks hizo. Gharama za uendeshaji bado zinatoka mfukoni mwa mtu mmoja mpaka sasa na baadhi ya Premium Members ambao wameendelea kuona umuhimu wa kufanya hivyo.

Mpaka sasa JF ina wanachama waliojisajili karibia 8,000. Endapo waliojili hawa wangechangia walau Tshs 10,000/= kwa mwaka basi inamaanisha JF ingetengeneza Tshs 80,000,000/= kwa mwaka na hivyo tusingeweka matangazo KABISA na tungejitahidi kupata moderators ambao watakuwa wanalipwa kwa kazi yao na wangeifanya kwa umakini mkubwa zaidi.

Ukiangalia katika historia ya Forums nyingi, huwa zinashindwa kuhimili traffic inapokuwa kubwa kutokana na servers kuhitaji umakini zaidi na Forum owners hujikuta wanaona ni mzigo usio na faida hivyo forums hizo kufa.

Tumshukuru Maxence kwa kuendelea kulipia gharama hizi kila mwezi kwa kujitolea mpaka sasa huku akilipia na Chat Server (IRC Server).

Wapo wanachama kama Ogah, Nyambala, SteveD, FairPlayer, Mchukia Fisadi na Phillemon Mikael ambao huchangia walau kila wanapopata wasaa... Hawa nao wamesaidia kwa kiwango kikubwa katika jitihada za kuhakikisha JF inakuwa hewani. Bila kuwasahau wadau waliochangia walau $200 hivi initially kama Mtanzania, Field Marshal ES na Halisi.

Ninachoamini binafsi ni kitu kimoja, Tshs 5,000/= kwa mwaka inawezekana kabisa kwa watanzania tulio na uwezo wa kuingia mtandaoni. Na uzuri, benki zetu Tanzania zinaruhusu mtu ku-deposit Tshs 5,000/= kama kiwango cha chini.

Endapo kuna mwanachama anaguswa (kutoka moyoni) na angependa kuiwezesha JF kuendelea kusimama imara na kufanya vema zaidi bila mizengwe ya kifedha, basi anaweza kukubali kuchangia Tshs 5,000/= walau kwa mwaka.

Benki zetu (hapa naongelea NBC na CRDB kwa haraka) hazikulazimishi unayetuma hela kuandika jina lako la kweli bali lile ambalo ungependa mpokeaji alitambue.

Kwa walio Tanzania wanaweza kuichangia JF kwa kutuma katika akaunti za NBC au CRDB.

Akaunti ambazo tangu awali tulipendekeza zitumiwe ni za Maxence Melo (as the JF Founder) na tukawaomba wanaotuma waandike Nicks za kuweza kutanabaisha kuwa wao ndio walotuma.

=================================


Michango inaweza kutumwa kwa njia kuu nne:

1. Kwa walio nje wanaweza kutumia PayPal au Credit Cards au Debit Cards kwa kufuata link hii ( https://www.jamiiforums.com/payments.php) iliyo kwenye sahihi yangu (linapoonyesha dole gumba) na pindi mchangiaji anapoweka chochote tunakuwa notified nasi tunafanya kuwasiliana na mhusika ili aweze kupandishwa kwenda katika group la Premium Members.

Paypal users:

Send via email - macdemelo@gmail.com moja kwa moja itafika na utaarifiwa ndani ya dakika 60 kuwa mchango wako umepokelewa.

2. Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.

3. Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:

NBC:

Acc #: 033201064359
Jina: Maxence Melo Mubyazi

CRDB:

Account Name: Maxence Melo Mubyazi
Bank: CRDB Pugu Road Branch
Swift Code: CORUTZTZ
Acc No: 01J2092391800

4. Njia ya nne:

Unaweza kutuma recharge vouchers za tiGO, Zain, VodaCom au Zantel kwenda kwa Maxence - 0713444649 naye atakufahamisha kuwa kazipokea.

=================================

Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).

Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.

Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.

 
Miss k, karibu ktk jm kwa ufupi ni ukunbi wa kujadili mambo mbalimbali, lolote linalokusumbua utapata msaada mama welcome!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom