HodI deep thinker

gkalunde

Senior Member
Mar 30, 2011
108
13
Nimeamua kujipenyeza ndani ya bahari ya jamii hii iliyo staarabika na kutoa michango inayotupanua kifikra na kutufanyatufikiri kwa mapana mambo mbalimbali.hongereni wanajamvi.
 
karibu sana mpaka uani,kuwa makini usije pitiliza mpaka chumbani kwa jirani maana hizi nyumba zetu za uswahilini zina mambo
 
Back
Top Bottom